"Njaa kwa mwenzio' unaishabikia ya nini, muache afeeee Kitu gani"
Hao mafala TIC na TCCIA hawana lolote Mijizi namba moja haina jipya, Imeshibisha mitumbo, tunasubiri kuizika kwa kisukari na ukimwi.
Tumpavuuuu Kabisa kabisa......
The only difference with you is that Always I cry for having no money b'se I don't get salary, But when I cry I found you also crying regardless of your salary you getting every month .
Wether salary or no salary having no money is a part of you, cursed be your parrantes.
Hahaa
Of course hakuna jipya wachaga ni wakabila, wanaiba sana kupeleka kaskazin kwa bibi zao, ndo maana hata wakati wa kuomba uhuru babu yao alijitokeza kuomba uhuru wa kilimanjaro, Msiwalaumu sana kwasababu wako narrow minded they only think in a shallow pit, they have left their fellow citizen...
Wewe Dada unatamaa......
Huyo mshikaji haumpendi ila hautaki kumuavha kisha alishaa kuduuu sana, na unaogopa jamaa siku akitoka, kwasababu huyo jamaa yako inavyoonekana ni mpiganaji na bado hajatoka, ila kwasababu we unaendeshwa na njaa unathamini boss, yeye sio mjinga kumtukana boss ni lazima...
Huyo jamaa naye kizunguzungu, ukimuangalia amebakiza kichwa tu na mdomo wa kuzungumza, anaishi na stress nyingi sana huyo bwana mdogo, anakunywa sana pombe na demu wake yule, yaani kiufupi ni kama amepoteza muelekeo, Pale mara nyingi Zoungh garden yaani anajidhalilisha, wewe kijana mdogo...
Kwa hilo la zantel kiukweli jamaa wanatujali wateja wake, In person kwenye modem yangu ya Zantel nilitumiwa message hii hapa chini,
"Name:
Number: 107
Content:
Dear Customer owing to the expected fiber cable outage you will experience degraded Internet Service with effect from tomorrow...
Am looking for a Personal secretary, similar qualification like that one!!!!
Msemaukweli mpenzi wa mungu hapa nilipo mshipaaa, akhsante bwan Eqlypz ni tiba tosha.
Ni balaa.
wezi wakubwa Ruksa,
Wanaleta uchumi kwa wananchi moja kwa moja, kwanza ukoo wake na ndugu wanaomzunguka wananeemeka. Vibarua wanapata neema bila kuwasahau wapambe wake. Na watanzania halisi Ajira zao nyingi Zinapatikana huko.
Serikali imekosa uchumi wa kumnufaisha mtanzania halisi, ni bora zaidi...
Very nice thing.
That why today, this is a customary, One gives family to a woman category 2 and keep hide a nyumba ndogo women category 3.
During Marriage while signing of paper, you sign for marring many wives.
Unampiga Change quota, hawezi ona kwa mda huo as she will be busy preparing...
Hapa naona umaamua kujichimbia kaburi.
Lo mtanzania huyu kafichwa gizani, hajui hata anahitaji nini kutoka kwa Raisi wake, Siku ukimpata Raisi utajua nini ulinyimwa ka haki yako ya msingi.
Hapawezi kukawa na mtu anayeiitwa raisi and then watu wanaishi ka wanyama wa mbuga za Serengeti. "Survival...
Mkilala kidogo hii nchi itakuwa ya VIPUSA.
Bora uchaguzi usiwepo, kama wangombea ndio hao wa kina Masako, Musiba na Hawa wa viti maalumu Nakaya!!!!
Vipusa watupu.
Hawa wapiganaji wako wapi,
Papa Msofe, Mawamba, Tomaa wa Diama, Ndama, Madinda, Mtegeta, Mtawali, Kasanga, Gonzaga, Msauzi...
Wale wa forever living product, huyo dada anahitaji Tiba, ile juisi vidumu 6 hivi continous DOZ apungunze sumu mwilini, ni mnene sana.
Uhauri wa bure!!!
Jamaa yuko sawa sana, madada wengi mnaboa, njaa mmeweka mbele sana.
Sasa thamani ya utu wenu mmeweka rehani, sasa wengi mnaokunanao ni fugitives wamekiambia nchi zao kutafuta asylum bongo ni wapitaji, 70% of them ni waathirika wa HIV na almost all of them are night standers, Kwa mfano wengi wa...
Architect mpore upo +255 788382171, mgenidunia anaandaa shambulizi la EPA.
That number is among the good architect.
Ushirika house floor 10
profile yake call him on that number.
Hana makuu, kazi on time and very efficient.
"Distinguished Participants, Ladies and Gentlemen,
In 1999, as the world was preparing to welcome the new millennium, there was a tremendous worry that the presumed Y2K virus, will crash the global computer network system as the calendar turns the year to 2000. Business leaders and politicians...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.