Kifupi DED hatoshi, anaishi kwa kubebwa na dc na Kamati yake ya ulinzi na usalama. Kwani Hawajui Kama zile nyumba hazikaliwi na watumishi, tena wakuu wa idara! Analala zile nyumba Siku Akita na mchepuko wake maarufu aliouhamishia shule jirani na ni mwalimu mkuu. Leo hii watumishi wa Halmashauri...
Inashangaza sanaa. Badala ya kujiangalia wapi mnateleza mnatajana majina humu. Hivi jumuia ya wana Katavi mna akili sawa kweli? Angalia kilichokuangusha sio ulipoangukia meen!! Natamani kujua uwiano wa kijinsia huko labda naweza pata chanzo cha mihemko inayoonekana hapa jamvini.. Simbachawene...
Nalazimika kusema hayo baada ya hali ya isiyo tulivu kutokea katika uwanja wa ndege wa Mwanza leo asubuhi majira ya saa 2 asubuhi. Abiria mmoja aligeuka kero wala sio kituko kwa sauti ya juu kuzidi hata ile ya matangazo ya airport, kutumia muda wote wa kupiga kampeni za Urais pale aiport. Kama...
Aibu zako kwa kweli. Mtu kuhama anatafuta cheo? Utoke Halmashauri uwanie mkoa? Mkoa kazi ya kuandika barua za maelekezo ktk halmashauri basi, sana kuwa mkoani ni kijiweni.UMBEA HAUNA POSHO
Habari hizi ni kweli kabisa. Na tunaomba shirika lichukue hatua stahiki. Hivi meneja akiwa likizo hajui watumishi wake? Kuna namna hapa. Jibu lilikuwa ndio au hapana. Kitendo cha kukwepa kujibu swali kinatia mashaka. Lakini ni wakati wa Tanesco na taasisi nyingine kuangalia upya nafasi za...
Mkuu huna tofauti na mtu anaesimama kona ya uhuru na msimbazi akijaribu kuhubiri kwa wapita njia.UNAMPA Nani USHAURI. Umeandika tumesoma. Na ni kawaida yenu watumishi wa NHIF mkiona luck is not in your favour. Mnaleta vioja vyenu hapa kutukera tu si si wanachama. Hapo ni kuwa tu haupo katika...
Joyce, ngoma ikilia sana hupasuka. Huo usaliti na machozi ya wanawake unayoyasema hausababishwi na wanaume pekee. Kuna michango ya jinsi zote mbili. Harakati zako za kumkomboa mwanamke hebu ziwe na muelekeo fulani, km vile wa uchumi, nasio kulazimisha ndoa zisivunjike. Hilo hata mababu zetu na...
. Heri wao wenye akili kama za watoto wadogo. Kuliko wenzao wanaodiriki kubaka vichaa na kuwazalisha. Sijawahi sikia hawa wenye akili km watoto wadogo wamezaa na vichaa
Dola??? Imewahi wafanya nini watu wa zanzibar? Wale waliumbwa kuumiza wenzao tu, na wao ndio wasimamizi wakuu wa uislam. Over my dead body zanzibar nitapita tu kwa flight km route itaelekeza hivyo, mji gani huo wa watakatifu wakorofi? Dubai ina waraabu ila haina shida. Makoko ndo yamejaa roho za...
Mmm unadhan hakuna watu wa kufanya kazi hiyo? Ofisi nyingine wanaofanya kazi wamesoma wapi? Yaan nhif nzima hakuna alokuwa anaweza kuongoza ofisi. Hy jamaa alikuwa anang'ang'ania tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.