Habari wakuu anahitajika mtu wa mauzo anayeweza kuendesha guta mpya kabisa na piki piki wa kutafuta wateja na kusambaza bidhaa za vyakula ikiwemo brand ya unga wa sembe inayojulikana Mtwara (gas city) na iliyo kwenye soko kwa zaidi ya miaka saba.
Sifa
i. Awe na leseni ya kuendesha guta na piki...
Hebu fikiria joto lilivyo kali unaenda kukata tiketi wanakwambia bus lao luxury lina AC.
Lakini unasafiri Tanga hadi Mtwara hakuna AC na hata baadhi ya vioo havifunguki ovyo kabisa basi letu si la kupanda pia muwe wakweli mtoe mnachoahidi wacheni utapeli kama vipi bakini huko kwenu Tanga...
Habari members
Anahitajika mtu muaminifu mwenye uzoefu na ufahamu wa shughuli za stationery au bookshop kwa ajili ya kufanya kazi Mtwara mjini.
Mwenye sifa na aliyetayari kufanya kazi Mtwara mjini tafadhali tuwasiliane kwenye inbox.
Habari great thinkers
Kuna sehemu ninatakiwa kutoa maoni yangu kuhusu mapendekezo ya mfumo bora wa kihasibu kwa ajili ya travel agent company ambayo inanunua tour packages kutoka kwa other tour operaters, inauza kwa customers with additional cost(commision).
Ninaomba mawazo yenu ya mfumo mzuri...
Habari wakuuu
Kutokana na changamoto za ajira na biashara leo nimeona ni Vema nikaongelea ni mambo gani yanatukwamisha na jinsi ya kujikwamua.
Inaaminika ili kuwa tajiri lazima uwe na vitu vitatu:
i. Uwe na mtazamo wa kitajiri
Ii. Uwe na maarifa na taarifa za kukuwezesha kuwa tajiri.
iii...
Habari Wana JF
Kama umewahi kusafiri na ndege za makampuni mbalimbali hapa Tanzania ninadhani utakuwa unaujua utapeli huu kuhusu nauli za fastjet. Sishangai kampuni mbambali kutangaza nauli ambazo nitofauti na uhalisia lakini si kwa kiwango hiki cha fastjet kwani nauli wanayotangaza fastjet...
Habari wana JF
Kwanza nikiri mtu kutokuwa muaminifu ni tabia binafsi lakini pia lazima tukubali tabia huathiriwa na mazingira, hivyo basi pamoja na kwamba wanawake mmeumbwa na asili ya kubembelezwa sana inapotokea kutoelewana au wakati mwanaume anataka kuanzisha mahusiano jaribuni kupunguza...
Hi JF members
I think everyone knows the prevailing unemployment disaster in our country and its not bad to share whatever can help us. From that point of view a person with ten million business idea is required with expectation of capital addition depending on performance. Below are...
Habari wana JF
Leo kupitia vyombo vya habari ikiwemo clouds fm wamedokeza matokeo ya tume iliyoundwa na Waziri mkuu kuhusu matokeo mabaya ya kidato cha nne. Baadhi ya mapungufu yaliyobainishwa na tume ni pamoja na
(1)Wanafunzi kupewa alama (marks) kwa kufanya maswali ambayo hayakwepo kabisa...
Habari Wakuu, kwanza ninawapa hongera kwamba pamoja na JF katika siku za karibuni kuvamiwa kwa posts za hovyo hasa kutoka kwa wadogo zetu amboa nina imani hali itapungua wakianza kusoma vyuoni October kama sikosei bado JF is good for knowledge and entertaiments.
back to topic: Ni mara nyingi...
Habari wana JF, ninaomba ufafanuzi au ushauri wa hali ninayokuwa nayo katika maisha yangu ya kimahusiano,kifupi mimi ni Mwanaume mwenye umri wa miaka 30 na nina Mwenza. Kabla ya Mwenza niliyenaye nilikuwa na mpenzi ambaye chanzo kikubwa cha kutengana ni kwamba Mimi nilikuwa mara kwa mara...
Habari wana JB, Leo hii ninaomba tujadili tatizo kubwa linalotusumbua Tanzania la dhuluma za kila mara inayofanywa na kundi moja la Watanzania dhidi ya jingine lakini malalamiko yake hayasikilizwi mbaya zaidi Watanzania hao wanyonge wanapambana ili dhuluma hizo zipungue kama si kuisha lakini...
Habari wanajamii? ni kipindi kirefu nimekuwa msomaji wa kila siku wa jamii forum bila ya kuwa member, ninakiri ndani ya jf unapata kila kitu. Ninaomba ridhaa yetu as a new member!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.