January tatizo lake moja tu ...na hilo mtakubaliana na mimi! Not tough enough!!!! Mmemuona hata kwenye escrow jamani kimya kama hayupo bungeni! Jinsi tunavyoibiwa na makampuni ya simu, yanavyo chakachua kodi ya serikali hakuna alichofanya!!!!!! He doesn't have balls to lead this Tanzania now!!!
BEI NI SH LAKI 2.8 TSH haipungui
ni pm au whatsapp me 0659387945, niko TABATA, DAR ES SALAAM
Computer iko katika hali nzuri inatumika kama kawaida, battery life bado iko vizuri (tazama katika picha). Specs zingine ni kama unavyoona hapo chini.
Inafaa sana kwa wanafunzi hasa kwa sababu...
Siwezi kubishana na wewe made in div 5!! Kwa kifupi ni kwamba hakuna ubongo huko kichwani your a degenerate delinquent piece of rubbish. Takataka majani ya chai wewe
Tsh 40000 pungufu unaongea
Zipo Black and Yellow
ni pm au Whats-app 0659387945
Product Features:
OULM 3130 quartz wrist watch for men
Features 2-movt design and 3 false sub-dial for decoration
2 crows at the flank for adjusting time individually
Normal water resistant, NOT for...
Hawatashuka kama mvua ....I have seen jinsi watu walivyojikita katika ushabiki wa kisiasa badala ya sera na utendaji na utekelezaji na kujenga uchumi!!!!
Vijana tunahitaji dialogue pana nimewaona vijana pale bungeni wameanza kuguswa Mwigulu, Tundu, Mnyika, Deo, Kafulila, Kigwangala, pamoja na...
Maneno ya Mwananchi ya Leo hapa chini yamenifanya nifikiri sana njisi Siasa za Chama cha Mapinduzi zinavyozidi kufirisi taifa hili. Hawa watu wana nia nia gani na nchi hii??? Taifa lisilotaka kuwajibika kwa viongozi wake ni taifa gani ??? Hebu soma hapo chini
Walifuta vifungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.