Hilo ni wazo zuri sana lakini cyo kwa serikali ye2 hii inayotanguliza maslai yao mbele kwanza.. Labda hili janga lingeanza kuwatafuna vigogo kwanza ndiyo wangechukulia maanan wazo kama hilo la msing
Kwanza kabisa nakupa hongera kwa kuibua mada nzuri na yenye kutufanya 2we watu wa kusoma biblia na kuielewa kwa undan.
Laki kwa uelewa wako ambao umeupata kwa kusoma biblia naomba nirudishe swali kwako tena, je kuna mahali ambapo biblia imetaja mwezi na tarehe ya kuzaliwa Yesu kristo.
Kiukwel 2nakoelekea watanzania sio na 2cpokuwa makin 2takuwa 2nazalisha jamii ya wa2 wajinga mana matokeo ya form 4 kurudiwa kuchunguzwa tena kuna uwezekano wa baraza kufanya hujuma ya kuongeza idad kubwa ya waliofaulu kwa lengo la kujipatia cfa kubwa sana. So watanzania yatupasa kuwa makin sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.