Search results

  1. M

    Nna mdogo wangu kasoma Bsc of EDU (BIOLOGY & GEOGRPHY

    Barchelor of Education....!open tuition centre try to create u'r personal idea not wait a govt,no money for new employees
  2. M

    Mdogo wangu anatafuta kazi ya driver

    Daaaah afazali,anajua kuendesha helkopta?ni mda mrefu nimetafuta sana driver of my helkopta plz contact with house boy for more information,0652407419
  3. M

    Ajira mpya ya walimu 2012/3013

    Mi nafikiri kwa kua hao waalimu wanaham sana na ajira ni vyema waajiriwe lakini wawekwe wazi tu kwamba mishahara ya kuwalipa hakuna,wajue wataamua nin maana kila siku ajira tu,we umeshaambiwa r"asilimali zote zimeuzwa na CCM"unachoshindwa kuelewa ni nin wazaz wenu si ndo wale...
  4. M

    Form 4 na wengine, angalieni hapa!

    Sa nani asiyejua acha kujipendekeza kila mtu yanayomhusu anayajua,ushatuona humu jf wote mbulula eeee,anzisha darasa kwako sio huku
  5. M

    Wasifu mfupi wa marehemu mtarajiwa 2015

    Hivi marehem ni jinsia gani?
  6. M

    Mbunge wa Ukerewe: Asikari wa Kenya na Uganda waingia Tanzania

    maelezo mengine ni kuwa hao askari wanapiga watu ovyo amani hakuna
  7. M

    20 Poorest Countries In The World 2012

    kwani umeambiwa utajiri ni rasilimali...!Congo wasemeje,labda useme rasilimali ya ujinga hilo nitakuunga mkono 100%
  8. M

    Posti za mifugo na uvuvi

    Mwaka huu serikali haiajiri
  9. M

    Ajira mpya za ualimu 2013

    Mbona siku zote walimu ni wa kudanganywa tu,ukiangalia mshahara wenyewe mdogo....!nyie heshima yenu nikusalimiwa tu darasani,maneno ya kuwajali ni mdomoni tu sio kivitendo,poleni sana nawaonea huruma....!
  10. M

    Ajira mpya za walimu januari 2013

    jinsi ulivyouliza inaashiria kama we ni mwalimu bac serikali imeingia mkenge,hao wanafunzi watakuelewa kwel,be serious....
  11. M

    Hugo Chavez: WE LOVE AFRICA

    kweli jamaa uwezo wake ni mdogo
  12. M

    Jinsi ya kumkamata anaye-cheat kwa kutumia simu...

    Outcome of that tecnology is to break relations whatever will be but at the end of the day the aim ni kwamba wazungu wanataka tuwe kama wao ili mwisho wa siku ukiteswa sana na mapenzi find of u'r same sex may be u can got a relief,when u become hated daily by some girls u will conclude to find...
  13. M

    Ya Manumba Ni Zaidi Ya Malaria!

    Mbona sasa kama ndo hivyo we ndo utakua mpuuzi wa kwanza hapa Jf
  14. M

    Mchakato wa katiba: Mtikila aibua mapya

    Huyu mchungaji yuko vizuri aisee,angekua anaishi kenya au zimbabwe bila shaka angekua Rais but kwa sababu watanzania wanapenda kudanganywa na rangi bac tena,big up mtikila
  15. M

    Katiba mpya Tanzania

    Kuhusu hilo la wabunge wakae majimboni kwao haliwezekani kwani hata ukiwachunguza utawagundua walikuja tu kugombea alafu ndo hivyo tena wakishinda,Rais nae aishi wapi?
  16. M

    Katiba mpya marufuku watoto wa Vigogo wastaafu kugombea nyadhifa serikalini.

    Hilo haliwezekani hata kidogo there is what is called human right,hata hao mashoga wenyewe wanadai haki zao sembuse hilo watoto wa vigogo kinachotakiwa ni kukidhi vigezo na matakwa yanayostahili.
  17. M

    Tanzania sasa tuwe na siku tatu za kupumzika katika wiki moja

    kupumzika nikuamua kama umetosheka pumzika siku zote kabisa,watanzania tunapenda sana kupumzika hata wakenya wanatushinda,ukimuajiri mtanzania ujiandae kwa uzuru kila siku,nenda nchi za wazungu uone kama wanazingatia siku za mapumziko au vp?tutengeneze wasomi wakutosha ili kuwe na some off days...
  18. M

    Gazeti la mwananchi la leo....

    viongozi hawapo serious wananchi ndo watakua serious...!
  19. M

    Yanayojiri Mtwara

    we ndo ---- kabisa kama unataka amani hamia uswis,unaraha gani we sida tu ndo zinakusumbua,kwanza inawezekana we nawe fisadi tu,wenye viherehere kama nyie huwa ndo tunaanza nao alafu amani baadae.
Back
Top Bottom