Machale yananicheza, kuna jambo baya hawa watekaji wanataka kumfanyia Dr Slaa halafu story ipachikwe kwa Mtoi. Hivi kuna mtu anaijua sura ya Ludovick aipachike hapa?.
ZZK njoo SAUT unitafutie kesi ya MURDER, nina machungu nawewe. Watu kama wewe huwa wanatupwa kwenye kundi la mbwa mwitu wenye njaa kama yule uncle wake raisi wa North Korea!
yeye ni waziri kivuli wizara ya katiba na sheria, na muswada uliokuwa mezani unamhusu. Pia kulingana na uzoefu wake ktk nyanja hii, kukosekana kwake ni pengo kubwa. Ndio maana hata spika amekiri kwamba wamemmis sana.
Katika muswada wa kura ya maoni unaendelea hakika bunge limepwaya, hapa ndipo tunapoona umuhimu wa Tundu Lissu. Leo hii mapema asubuhi amesimama na kuomba mwongozo wa spika, katika mwongozo huo huku akionekana mdhaifu Tundu Antipas Lissu amesema tangu jana anaumwa hadi leo bado ana homa kali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.