Shida kubwa naiona kwenye sheria tu maana hawaweza kupindisha sheria kumfavor mtu tena binafsi maana mzigo umeandikwa jina la mtu sio Ofs ya RC wa tahasisi ya kusaidia.
Chadema wanafurahia posho na lile fungu warakalopata baada ya uchaguzi maana wanaweza kupata wabunge wengi na kupata kura zaidi zitakazowaongezea viti maalum ila kwenda Ikulu kwa nguvu za umma sio rahisi...maana hizi nguvu za umma hazikushawishiwa kujiandikisha...uko mikoani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.