mimi nashauri isiishie kwa petty traders tu, bali iende zaidi kwa foreigners wanaofanya kazi ambazo watanzania wanaweza kuzifanya.Kuna kundi kubwa sana la kazi za kada ya chini na kati katika sekta binafsi ambazo zinafanywa na wageni wakati watanzania wenye uwezo wapo. Tz tuna nini, mimi...
Press yetu inashida sana hata kwa waandishi ambao ni wakongwe, kuna host mmoja wa kipindi katika Tv ya channel ten-DSM, yeye huongea zaidi kuliko wale aliowaalika, swali mmoja huuliza dakika tatu kisha hutaka wageni wake wajibu kwa dakika moja maana huwa anawainterrupt sana. Sasa kama huyo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.