Mkuu nadhani somo langu la kukutaka ufatilie zaidi habari limeeleweka vema, majibu uliyoleta hapa inaonesha ni jinsi gani umetendea kazi ushauri wangu. Ila uwe unasoma habari ya mtu na kuilewa kiundani; mimi kuandika kuwa gazeti linaloheshimika hakufanyi magazeti mengine kutoheshimika (orodha...
Braza basi usiwe mvivu walau hata wa kufanya research ya habari unazozisoma hapa mtandaoni na kujua kama umepelekwa chaka au la....nakupa habari kamilifu kaifanyie kazi "Daily Mail is the United Kingdom's second biggest-selling daily newspaper after The Sun". kama kimauzo linaongoza na habari...
Braza basi usiwe mvivu walau hata wa kufanya research ya habari unazozisoma hapa mtandaoni na kujua kama umepelekwa chaka au la....nakupa habari kamilifu kaifanyie kazi "Daily Mail is the United Kingdom's second biggest-selling daily newspaper after The Sun". kama kimauzo linaongoza na habari...
Wadau,
Gazeti na mtandano unaoheshimika UK na US (Dailymail) wametoa hii habari kinagaubaga.
Hili swala la hawa mabinti linazidi kututia doa kimataifa....ukisoma comments za wachangiaji kwa huu mtandao utagundua ni jinsi gani tunazidi kupoteza ile picha ya kisiwa cha amani.
Jisomee...
Mkuu mbona wizi wa vifaa vya magari upo siku nyingi!!! Me nilipigwa vifaa vyote vidogo vidogo vinavyoweza kuchomoka hadi taa ya ndani and spare tire mwaka 2009. Nilivyooenda Ununio Street (ndo hapo karibu na Karume) nikavipata freeesh, nilivinunua tena, sikutaka hata kufatilia polisi wala nini...
Mbona mnakimbilia kwenye vita....si tumuite Kagame tuzungumzane amani iwepo....kama mheshimiwa alivyomshauri rais Kagame akae na maadui zake basi na siye ndo itakuwa best practice kwetu pia....!
.
Spika Anne Makinda majuzi hapa alitamka kuwa ofisi yake/bunge halifanyi kazi kwa kutegemea vyombo vya habari! Leo iweje kaviamini hadi kutaka serikali ije na majibu ya kueleweka!!!?
Kwa kweli Jenista leo kanishangaza sana, anatetea vitu ambavyo havina kichwa wala miguu...ati kuna bilioni 3 zitatengwa na serikali sikivu ya CCM kwa ajili ya kutatua matatizo ya ajira ya vijana milioni 16....jamani hii ratio ya 3bilions kwa 16M mbona ni ya kusadikika sana!!!
Ni kama vile wananchi wa hivyo vijiji wanasema " Diamond tutaenda kumcheki mkimleta....kanga,kofia,na hela mkitugawia tutachukua lakini kura CHADEMA" aisee kweli TANZANIA imeamka.
huyu mzee wetu alikuwa ni God sent kwa kweli....sasa hivi anamzungumzia mgombea urais kwa ticket ya CCM enzi hizo mwaka 1995, lakini kwa jinsi anavyoelezea hizi sifa za mgombea rais nina uhakika hata miaka 100 ijayo kwa CCM ya sasa haiwezi kumpata. Labda CCM ijivue gamba.
wadau.....leo kwa makusudi mazima nimeamua kuangalia TBC TV kutaka kujua tumemuenzi namna gani kiongozi wetu Shupavu (hayati Moringe Sokoine, leo ni siku ya kumbukumbu ya kifo chake).....
Nimeshangazwa na habari ya kwanza, inayohusu mlolongo mzima wa mkutano mkuu wa CCM kujivua Gamba, habari...
Kk, I saw this news yesterday evening on TBC1, I was shocked, and wondered myself; if the towns pupils are treated this way what about the upcountrys ones!!!!? The education system and administration is f*ck*d up, sorry to say so.
The other day I was talking to one of the head teacher in towns...
ha ha ha! Hao wabunge ka-muda kadogo tu hivi wanalalama, babu yangu alifanya EAC miaka ya 60-70 mpaka anakufa mwaka 2004 hajalipwa mafao yake, katuachia wajukuu tufatilie lakini tumeambulia patupu. wacha waionje shubiri ndo waijue serikali yao kwa mtanzania wa hali ya chini....
Mkuu, Dr. Kikwete alitamka hayo maneno kama yalivyonukuliwa hapo juu, tena cha kushangaza zaidi alikuwa anasoma; design hotuba yake iliandaliwa hivyo, taarifa ya habari jana TBC walirusha hii makitu.
Jana nilikuwa naangalia taarifa ya habari TBC nikamuona Mh.Dr.Dr.Kikwete akizindua rasmi awamu ya pili ya mpango wa elimu ya sekondari katika kutekeleza MDGs.
Katika hotuba yake alisisitiza kuwa ili nchi yeyote ile duniani iendelee kimaendeleo inahitaji watu wa daraja la pili...na kwa Tanzania...
Mkuu MCHAWI wa CCM ni CCM wenyewe...wanaendesha hii inchi kama kimwaka 1947, hawataki kuelewa kuwa zama zile za uficho zimepitwa na wakati, mikataba feki na haramu inayoiangamiza taifa muda huu wanasingizia ni siri kwa ajili ya usalama wa taifa....!!!! Ha ha ha ha....serikali yetu inaendeshwa na...
Dah, wana JF wenzangu; kwa kweli hii hali ya maisha ya Mtized wa kawaida inazidi kuwa ngumu kama vile hatukupendelewa na Mwenyezi Mungu nchi yenye neema ya mali asilia na utulivu uliokuwepo toka mwanzo.. Mimi ni mtanzania wa hali ya kati kabisa, nisiyekuwepo katika chain wala sina damu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.