Mlengo wa kati, nadhani jambo la muhimu kwa sasa ni hilo walilolifanya CHADEMA.
Hayo mengine sio muktadha wake...wahenga walisema 'tenda wema uende zako usingoje shukurani'
nawapongeza chadema kwa hatua hiyo na endeleeni kuwatetea wanyonge - ili wale wanao'wazushia' kwamba nyie ni hivi au vile...
Jamani katika jamii wapo watu wema na watu waovu.
Katika dini zote wapo 'wana wa Mungu aliye hai' na wana wa yule mwovu.
kwa hiyo mtu wa dini yoyote anayechukia 'uovu' au 'mabaya' hatafurahia uovu hata siku moja
tusipofushwe kwa 'dini' tukidhani watu wa dini fulani 'wote ' ni waovu au watu wa...
Vidagaa si wanao mapapa wao wanaowatuma... Wawataje.
Ila kama usemavyo christiane nakubaliana nawe,..tunahitaji mfumo mpya ili tuijenga tanzania mpya, ile ya mwalimu nyerere iliyokuwa ikimwajibisha kila mkosaji bila kulenga vidagaa na kuwaacha mapapa.
Mwalimu nyerere alikuwa akiagiza sheria...
usimdharau mtu kwa kumwangalia
kutazama wagonjwa na kuwafariji ni jambo jema na la heri ambalo Mungu analifurahia- kwa sababu unapomfariji mgonjwa anapata matumanini kuwa kuna Mungu na atamjalia afya njema.
SIJAONA UBAYA KWA WATU KWENDA KUMTAZAMA MGONJWA WAO AU MPENDWA WAO!!!
Mungu akiwa upande wako Mbowe ni nani aliye juu yako?
La msingi ni kuzidi kumlilia yeye. Yeye ni mtetezi wa wanyonge. Wanyonge wanapopaza sauti zao za kudai haki kutokana na kukandamizwa, kuonewa na kadhalika...mungu anakuwa upande wao.
Kwa kuwa 'sauti ya wengi ni sauti ya MUNGU'.
Aluta kontinyua...
Chazal,
MUNGU HASHINDWI NA JAMBO. TUMLILIE TU MCHANA NA USIKU, KWA WAKATI WAKE ATAJIBU MAOMBI YA WANYONGE.
Mimi nina swali jamani:
Hivi mtu akiwa mgonjwa kalazwa hospitali si inatakiwa apone ndipo mambo mengine yafuate?
Mbona nimekuwa nikiona watu wakilindwa hospitali hadi wanapopona ndipo...
HONGERA MWAKYEMBE
yeyote asiyeitakia mema nchi hii ATABEZA JUHUDI ZA WATETEZI KAMA MWAKYEMBE. Yoyote ASIYEWATAKIA MEMA WATOTO WA WALALAHIO/MAKABWELA/WANYONGE WA NCHI HII/WASIKINI watabeza juhudi za viongozi wanaokemea maovu.
LAKINI MTETEZI WA WANYONGE YUPO...KILA SIKU WANYONGE WANAMLILIA SUBUHI...
hongera Mwakyembe kwa hatua hiyo. Watanzania wengi walalahoi na makabwela wako nyuma yako. Kila siku WANAMLILIA MUUMBA WAO ILI akomeshe udhalimu unaotendeka hapa nchini. HATIMAYE MUUMBA WAO ATAJIBU MAOMBI....ALUTA KONTINYUA!!!!
Mimi namkubali zitto japokuwa na wengine waliopendekezwa pia nawakubali
ila hoja kuu ni kwamba 'tuwaepuke' wanaopita kwenye nyumba za ibada...hao watataka kulipa visasi na kupendelea.
Tupate watu wanaotetea 'tanzania kwanza'
Amina...giza na nuru havina ushirikiano kamwe.
Anayeanza na mungu na kumaliza na mungu huyo ni wa nuru
nuru ilishinda giza
mungu awe pamoja nanyi.
Daima mungu akiwa upande wako ni nani aliye juu yako? - hakuna
endeleeni kumtumia mungu na kumkimbilia yeye katika mapito yote...yeye atawashindia...
Mtumishi wa Mungu akisema werevu husikia na kuzingatia.
Nabii TB Joshua wa SCOAN amepewa ufunuo kuhusu MAPINDUZI ambayo yatatokea kama suala la ajira kwa vijana halitatekelezwa sasa. Hili litaanza kama maandamano ya vijana kukosa ajira - vijana wenye sifa zote ie wasomi na wengineo ambapo...
KUOMBA MUNGU ILI HIYO 'ROHO YA UOVU' IFICHULIWE!
Mungu ni mkubwa na mwenye nguvu kuliko shetani. Shetani kazi na mipango yake kila dakika ni KUUA, KUANGAMIZA, KUHARIBU NA KUIBA... mtu yeyote anayefanya hayo au kuyawezesha kutendeka ni 'wakala' wa yule adui. Dawa yake ni kufichua na kumwaibisha...
Mungu akiwa upande wenu ni nani aliye juu yenu? Jibu ni hakuna
watu wema wanaokemea maovu waongezeke kwenye jamii yetu ili kwa pamoja tukeme tabia mbaya za kionevu ambazo zinaanza kutamalaki katika jamii. Nguvu ya umma ndio suluhisho la kushinda udalimu wa aina yoyote ile. Upendo ndio kitu cha...
ushauri wangu umekaa kiroho. Sijui imani yako? Ila kwa maelezo yako naona ni 'kitu cha pekee' huo unywaji wako.
Hivyo anza kutazama TV EMMANUEL na utajikuta tatizo limekutoka. Kuna wengi wanashuhudia jinsi walivyoondokana na kunywa pombe kupindukia na kuvuta sigara kupindukia. Kila la heri.
SERIKALI MOJA UNAITAKA WEWE
SISI TUNATAKA SERIKALI TATU Tanganyika, Zanzibar na TANZANIA.
Tusubiri kura ya maoni....tuone kila mmoja atapata asilimia ngapi. Atakayeshinda kwa kura nyingi tutakubaliana na matokeo kwamba ni serikali 1; au 2; au 3?
Kura ndio mwamuzi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.