Kwani ni uongo. Si ukweli, waziri aliyewapa chakula si alishakubali hilo. Na hao sio wajumbe wa Mungu kama unavyosema, ni maaskofu tu.
Baadhi yao wanafanya biashara ya madawa ya kulevya kama ambavyo mwenyekiti wa ccm alivyosema na wao wakakubali na ndio ukweli ulivyo. Kwako wewe ukweli ni...
Hivi wewe unaelewa mambo au unakurupuka tu. Zito kavuliwa gyro, nafasi za uongozi alizokuwa nazo. Uanachama bado hivyo hauwezi kuongelea uanachama hapa. Muda utafika
Maamuzi mazuri Kama ni kweli. Mimi sina chama ila kwa kumtoa zito CDM ni ushindi mkubwa. Tena sana. Msambaa mmoja havunji soko bwana, aende tu Lumumba.
Kwa kweli ni bonge la shule. J4 kitu ugali nyama, alhanisi Wali, pia kulikuwa na makande, full burudani. Ticha Sendoro mzee wa sofa, Mr makundi, ninja etc. Majengo sec, hongereni, ni bonge la shule
Hivi jeshi nalo sikuhizi ni sehemu ya FFU? Toka lini wakawa wana majukumu ya kutuliza fujo? Sasa wameingizwa kwenye siasa. Wajane wa hao waliofariki wanapata manufaa gani? Wana lipi la kujivunia kwa vifo vya wapenzi, wazazi, walezi wao? Au ndio wahusika wametulia maofisini, wanaokufa ni wengine...
Kaka kwani kuna chakupoteza asipokupa papuchi? Mpotezee hana jipya. Kwanza inawezekana sio papuchi orijino, imeshatumika anairingia. Tafuta mwingine wapo wengi sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.