Hayawi hayawi sasa yamekuwa...
Binafsi nimefurahi sana Mohamed Dweji (MO) kukabidhiwa klabu ya Simba. Hakika hii ni habari njema kwa wana Msimbazi.
Natumaini umoja na mshikamano wa viongozi wa Simba pamoja na wadau mbalimbali utaleta maendeleo ndani timu ikiwa ni pamoja na kubeba ubingwa wa...
Watu wanabomolewa makazi yao wengine wanaambiwa wasibomolewe! Nchi ni moja rais ni mmoja, Dola inawatawala wanasiasa mpaka wananchi...sasa hata mbwa ambaye siyo binadamu anauwawa[emoji88]
Watanzania tunaenda wapi???
Ila #Mungu atawalipa kwa hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.