Hizo submiter mbona zipo.. hata mimi naitumia, Unanunua umeme mita kubwa then unauvuta unakuja kwenye submita yako, kama ni unit 10 zikiisha unakata wako tu, wengine wanaendelea na umeme.
Aina - TOSHIBA
storage - 1,000 GB
location - Mwanza
Price - 100K
contacts - PM au 0628301473
NB- imejaa movie na series kali kibao
Sent from my iPhone using JamiiForums
yaani tangu kipindi anamtongoza wife... wewe ukamuonya.. OYA ACHANA NA MKE WANGU..
lakini jamaa kakaza hadi kapita na mkeo??
hii ni dharau iliyokithiri kwa wote wawili... mkeo na huyo mwamba
Sent from my iPhone using JamiiForums
Daah!! Umenikumbusha mbali sana. Miaka fulani ya 2013 nipo chuo. Niliparamia manzi fuani pekupeku halafu baadaye ndiyo nakuja kugundua kuwa yule manzi ni dada poa (japo alikua mwanachuo).
Hiyo miezi mitatu ya kusubiri nipime nilikua nina kila dalili za kuungua na nilishuka uzito na kukonda...
Una uhakika umemjibu yule mdada aliyekwambia upime ukimwi ukakataa??
Maana naona kama vile story mbili tofauti.. sisi tuliambiwa hukufunua mtu sketi, na ulikimbiwa.. hafu hapa unasema wewe ndo ulikimbia mtu..
Kama wewe ni binti ([emoji39]) na hujafanya janja ya kuja na ID mpya kumbe ni mkongwe...
Bhaaasi nakukaribisha kwa mikono miwili kwenye uwanja wa ma grit sinka... ukikwama pahala, bhas nitakuongoza..
Karibu sana 🤝
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.