Jamaa mmoja alikuwa akitokea shamba pamoja na mkewe. Wakiwa njiani
waliona uyoga, wakaung'oa na kwenda nao nyumbani kwa lengo la kwenda
kupika na kuula. Lakini kabla ya kufika nyumbani, wakahofu kwenda kula ule
uyoga wakihisi unaweza kuwa si uyoga wa kula.
Basi wakaamua wapike uyoga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.