Endelea na mambo mengine hiyo ad limit haitoki leo wala kesho na ikitoka kibongo bongo haina muda mrefu itarud mzee.... anza kutafuta adsense alternative mapema tu.... ukipuuza utakuja nikumbuka siku unakula ban hlf umefikisha dola 1000...
Wajumbe Natumai Wazima
Nimemuona Juzi Mkuu wa Wilaya Kongwa Dkt. Serera akiwa na wasanii wa filamu na bongo fleva akiwemo lucy na baby madaha wakiwa Kongwa Ranch..
Nakumbuka Mzee wangu Alikua akiagiza sana nyama miaka hiyo walikua na nyama tamu sana... hapa katikati wakapotea kabisa... sasa...
kumbe ilipigwa mueleka hapa katikat... Ndo maana nimemuona DC Serera pale na watu wake... sasa nikawa najiuliza Mkuu wa Wilaya tena ana ishu gan.... kumbe JPM kashaurudisha mzigo serikalini.... aaaaah bas tujiandae kula.nyama
Sent from my Redmi 6 Pro using JamiiForums mobile app
Wajumbe Natumai Wazima
Nimemuona Juzi Mkuu wa Wilaya Kongwa Dkt. Serera akiwa na wasanii wa filamu na bongo fleva akiwemo lucy na baby madaha wakiwa Kongwa Ranch..
Nakumbuka Mzee wangu Alikua akiagiza sana nyama miaka hiyo walikua na nyama tamu sana... hapa katikati wakapotea kabisa... sasa...
Ofcourse ni kwel.. Sema kwa Dodoma mi nimeshangaa kwel.. Nataka nikifika pale Kongwa nifanye mpango nionane na DC Dkt. Serera Au watu wa ofisin kwake kwa maelezo zaidi.... Niende na hivyo vijiji nikaone... ila kwa kongwa pale safi sana... Si unajua mambo yetu ya mazao ya kilimo ukaribu na Soko...
Mzee mi mwenyewe nimeshangaa ila jamaa wana mikorosho hapo na wanavuna huu mwaka wa 3 ndo nataka niende nikaone mzee
Sent from my Redmi 6 Pro using JamiiForums mobile app
Wadau kwema
Katika pita pita zangu nimekuta mahala makala Mkuu wa Wilaya wa Kongwa Dkt. Serera na KM Kilimo Wakiwa wanafanya ukaguzi kwenye mashamba ya Korosho Vijiji vya Mkutani na Msunjilile.
Kumbe show inaendelea Dodoma halafu watu wamekausha muda huo watu tumekazana na lindi na mtwara dah...
Wadau kwema
Katika pita pita zangu nimekuta mahala makala Mkuu wa Wilaya wa Kongwa Dkt. Serera na KM Kilimo Wakiwa wanafanya ukaguzi kwenye mashamba ya Korosho Vijiji vya Mkutani na Msunjilile.
Kumbe show inaendelea Dodoma hlf watu wamekausha muda huo watu tumekazana na lindi na mtwara...
Wadau kwema
Katika pita pita zangu nimekuta mahala makala Mkuu wa Wilaya wa Kongwa Dkt. Serera na KM Kilimo Wakiwa wanafanya ukaguzi kwenye mashamba ya Korosho Vijiji vya Mkutani na Msunjilile.
Kumbe show inaendelea Dodoma hlf watu wamekausha muda huo watu tumekazana na lindi na mtwara...
Pick Zone Dodoma Tunakuletea Bidhaa zenye ubora na upekee wa hali ya juu kuanzia mapazia , vyombo, maua, mapambo n.k kwa bei nafuu kabisa. Tunaambatanisha picha ya baadhi ya bidhaa kukuonyesha utofaut na ubora wetu....
Tupo Barabara ya 11, Jijini Dodoma, Bidhaa zetu zinatumwa popote ndani ya...
Habari Wajumbe
Kampuni ya Tigo imekua ni kampuni inayoongoza kwa kulalamikiwa kwenye sekta ya mawasiliano Tanzania.
Kwa uzembe, Utapeli, Uwongo, huduma mbovu na ni kampuni yenye majibu mepesi kwenye maswali magumu.
Kila mtumiaji wa tigo ana kisanga chake na hii kampuni ila kwa mimi... Hawa...
Tuko busy na Chadema,...
Habari ya uchumi siyo kipaumbele chetu
we kama unataka turuhusu paypal... Sema hivi SERIKALI ITUMIE PAYPAL KAMA NJIA MBADALA YA KUIDHIBITI CHADEMA....
Kesho asubuh BOT wanaruhusu mchakato
Salama wandugu
Anahitajika mdada mrembo kwa ajili ya kuuza duka la vinywaji vya rejareja na kuhudumia wateja wanaofika dukani kwa ajili ya kunywa.
Ofisi ipo opposite na Rock city mall.
Umri miaka 20 hadi 25.
Anayekaa maeneo ya karibu na ofisi atapewa kipaumbele zaidi.
Mawasiliano 0718 580...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.