Ile nchi ikaona njia ya kumtega jasusi wake wa zamani ni kumtungia tuhuma mbalimbali za uhaini ili azikatae na kujitetea ili impe jukumu la kuilinda dhidi ya wabaya wa bwana mkubwa. Wakatunga kwamba alitaka kupindua nchi kwa jeshi, jasusi akakaa kimya, wakatunga alikwenda kukodi jeshi nchi ya...
Everywhere in the world people tend to get tired of being under the same administration forever even if the administration delivers most of their expectations. This comes from the fact that human beings are on average curious of change irrespective of the level of uncertainty around the...
Afisa uhamiaji akiandikisha majina ya wamawiya mpakani mwa Mtwara na Mozambique:
Afisa: Karibu Tz, niambie jina lake kamili ili nikuandikishe na kukupa ruhusa ya kuvuka mpaka kuja Tz
Mmawiya: Andika Nikutoroke
Afisa: polisi kamata huyu mtu rudisha msumbiji.
Mmawiya: Afande nimesema...
Katika nchi inayotawaliwa na rushwa katika kila idara ya serikali kama ilivyo Tz sasa, uwepo wa mahakama inayofuata msingi wa sheria (kama inavyokuwa kwenye nchi zilizoendelea) unakosa maana. Mfumo wa sheria na haki unafanyakazi yake tu pale siasa zinapotenganishwa na mahakama, na pale tu...
Ameanguka na kupelekwa hospitali alipokuwa akihesabu kura zake za uenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi. Hadi anaanguka inasemekana alikuwa na kura 100 dhidi ya kura 500 za mpinzani wake, Mtopa. Matokeo bado kutangazwa. Kama kawaida ya siasa za sasa za CCM, Gwaje na Mtopa wanaumgwa mkono na Lowassa na...
Hii nimekuta kwenye madaftari yangu ya jiogorafia shule ya msingi. Nakumbuka nilikula fimbo kwa kumsabahi mwalimu kwa maandishi nikiwa nimeketi huku wenzangu wamesima.
Yahusu: ombi la mapenzi
Kwako dada mpenzi, salamu nyingi sana. Baada ya salamu mimi sijambo sana hofu ni kwako uliye mbali...
Baada ya kukaa miaka 5 bila kujamiiana wakiwa kama wachumba, ukafika ule usiku uliohalalishwa kwa Bwana harusi (ambaye alikuwa hajafanya tendo la ndoa tangu azaliwe) na Bibi harusi (bikra) kufanya tendo la ndoa.
Katikati ya tendo bwana harusi akaanza kupiga kelele "kinakuja kinakuja...
Siku moja kinyozi alipokuwa anatoa huduma kwa mteja alipumua kwa kutumia mlango wa uani, na ili kumpumbaza mteja kinyozi akaamua achanganye wimbi la shuzi lake kwa maongezi murua kama ifuatavyo:
Kinyozi: Hivi ulisema wewe asili yako ni mkoa gani?
Mteja: Mkoa moja wa nyanda za juu kusini...
Baba: Mwanangu, baba yako ni tajiri wa fedha, akili na busara. Kila utakacho kwangu nitakupa
Mwana: Nitafurahi kama utajenga daraja kutoka Dar hadi visiwa vya Madaska
Baba: Itakuwa ngumu maana nguzo za daraja katikati ya bahari ya India zitatokeza upande wa pili wa dunia na kusababisha daraja...
Polisi: Msee wangu tukusaidie nini
Mzee: Wezi wameiba godoro
Polisi: Kuna mtu waweza kumhisi hana ritandiko karibu na nyumba yako?
Mzee: Ana Ritandiko ana rigodoro
Polisi: Nenda mlete huyo Ana Ritandiko na Rigodoro
Mzee: Siwezi kuleta rigodoro kwasababu Ana Ritandiko sasa analilalia...
Chunga na akikisha kwamba unazijuwa lugha 10 za demu za kimapenzi katika siku za mwanzo, kwa faida na tahadhali yako.
1. Ukiona hajambi haina maana hana kijambio au shuzi.
Maana yake: "subiri nikuzoee, nitakujambia shuzi la kuchukiza nzi."
2. Ukimhonga fedha siku za mwanzo, hapendi...
Mbona hivi? Jamaa aliyekatika kidole kwenye ajali anapiga kelele masaa kadhaa, aliyekatika shingo yuko kimyaaaa!!
Mbona hivi? Mtu akikaa uchi bila kukusudia na huku akiwakodolea macho wanaomwangalia kwa mshangao, wanaomwangalia wanasemezana kwamba ni malaya, wakati akikaa uchi kwa makusudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.