Search results

  1. L

    Rais Magufuli amewateua Alphayo Kidata na Simon Mumwi kuwa Mabalozi

    Kwahiyo hapo anatafutwa mwingine wa kujaza nafasi ya Katibu Mkuu Ikulu? Au Mh. Kidata performance haikuwa nzuri?
  2. L

    TRA kumchunguza Askofu Kakobe baada ya kumsikia akisema ana hela kuliko Serikali

    Ana fedha kushinda serikali, kweli Askofu? Kwa biashara gani anayofanya?? Au Sadaka tu? Matajiri wakubwa Tanzania kama akina Mengi, Mo Dewji, Bakheresa hawana fedha kuizidi serikali yetu, lakini cha ajabu Kakobe hajawahi katajwa kuwa miongoni mwa matajiri wa Tanzania! Hilo Kanisa lake la FGBF...
  3. L

    Rais anaposema "Ngwini" ana maana gani?

    Hahahaaaa...ngwini hajui hesabu sasa ataweza vipi kuchanganua takwimu ambapo ndani yake kuna hesabu? Ole wake ngwini atakayejifanya kuchambua takwimu za BOT, NBS.... onyo ndo limetolewa hivyo.
  4. L

    Jinsi Rais anavyookota vitu bandarini

    Lakini hata kama ana itelegensia ya kumletea taarifa kwanini akizipata hizo taarifa asimuite waziri mhusika na kumwelekeza au kum-minyia hizo itelegensia? Kwani lazima ajitokeze yeye mwenyewe? Chain of command iko wapi? Collective responsility iko wapi? Ni vizuri mfumo ufanye kazi...
  5. L

    Ushauri wa mwisho kwa CHADEMA: Wafukuzeni Lowassa, Sumaye na wafuasi wao. Itumieni nafasi hiyo kurudi kwenye mstari!

    Hakika umenena vyema... Chadema lazima warudie misingi yao kama ilivyokuwa wakati wa Dr. Slaa. Ni miujiza kuamini Lowasa, Sumaye, Nyalandu na wafuasi wao wateleta mageuzi ya kweli.
  6. L

    Jirani yangu ofisini ni kahaba, ajira yake ni geresha tu

    Sasa wewe inakuhusu nini? kwanza ulishawahi kumkuta akijiuza...? Kama peformance yake kazini ni nzuri na inampendeza aliyemwajiri hayo maisha yake binafsi nje ya kazi hayakuhusu... by the way kila mtu ana maisha yake nje ya kazi ya kuajiriwa.... mind your business please.
  7. L

    Waziri Mpango: Rais Magufuli amenipigia simu kuhusu michango ya Bashe na Nape Bungeni

    Wawekezaji hawajitokezi tu kama maji ya chemchem, Serikali inapaswa kuandaa mazingira mazuri ya kuvutia wawekezaji pia ni jukumu la serikali kufanya mazungumzo na wawekezaji mbalimbali na kujenga hoja ya private and public partnership.
  8. L

    NEC wapiga marufuku siasa kwenye kampeni za madiwani

    I can't believe my ayiz kama hii kauli imetolewa na NEC....! Hivi unawezaje kuwambia wanasiasa wasifanye siasa kwenye mikutano ya siasa??? Wanaogopa nini? By the way uchaguzi wenye ni tarehe 26 Nov baada ya hapo mmewafunga midomo wasiongee.... hii siyo salama kabisa kwa mustakabali wa Tanzania...
  9. L

    Watendaji tofautisheni kati ya kumjibu Rais na kumjibu Mwenyekiti wa CCM!

    Sifahamu professional za hao Wakurugenzi lakini nijuavyo baadhi ya professional ni vigumu kukariri namba mpaka wazifanyie rehersal za kutosha. Hao wangekuwa ni Wahasibu au Mainjia ungeshangaa ambavyo wangezikumbukua hizo takwimu hadi nukta. Hii imwamushe hata Mh. JPM mwenyewe ili azingatie...
  10. L

    Uhuru Kenyatta is leading Raila Odinga by 98.2%

    Wakati mwingine kususia hakuna tija... Raila angemuuliza kwanza Maalim aliposusia nini kiliendelea....
  11. L

    Rais Magufuli afanya uteuzi wa Mabalozi, Wakuu wa Mikoa, Makatibu & Manaibu Katibu: Wamo Mnyeti, Mangu, Kashilila..

    Kweli JPM hapangiwi........ nahisi ma DC wengine sasa itakuwa ni mwendo wa kununua tu ili kuutafuta uRC.
  12. L

    Prof Kabudi: Ufafanuzi kuhusu makubaliano kati ya Serikali na Barrick

    Hii ni nimeipenda zaidi na nafikiri wengi wanapotea hapa.
  13. L

    Mechi saa 11 jioni, siku ya kazi Uwanja wajaa saa 6 mchana, chanzo ni ukosefu wa ajira?

    Mawazo potofu kabisa..... uwanja una jaa watu elfu 60, Dar ina watu Mil 5. Kuna wafanyabiasha walioajiri, wenye kazi za shift, walioajiriwa na wapo likizo, wasio na kazi, waliomba ruhusa kazini, nk..... sasa hapo unashangaa nini uwanja kujaa siku ya kazi???
  14. L

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Nimetoa like za kutosha, zamu yangu sasa kupokea.
  15. L

    TANZIA: Ivan Ssemwanga (ex wa Zari) amefariki dunia usiku huu

    Hakika life is too short, RIP Ivan, Mungu amekupenda zaidi.
  16. L

    KITILA: Bajeti ya Maji Inatosha

    Na hapo fedha inayoweza kutoka ni 20% tu. Sasa sijui kuna haja gani ya kuwa na bajeti kubwa ambayo haitekelezeki. Nafikiri wabunge wanatakiwa pia wasimamie ili hizo fedha za bajeti ziwe zinatoka.
  17. L

    Ndugu zake na mpenzi wangu walivyonilazimisha kwenda kwa mganga

    Yaani miaka 3 yote ulitegemea umkute kama ulivyomuacha? Si ajabu hata wewe ulikuwa unapiga show huko ulipokuwa....
  18. L

    Msaada: Nipo njia panda mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu niliyefoji cheti cha kidato cha nne

    Piga shule ongeza maarifa, hiyo elimu ya chuo kikuu itakusaidia kwenye mishe zako mtaani... maisha siyo lazima uajiriwe, lakini pia unaweza ukaajiriwa na sector binafsi, shida unafikiria ni lazima uajiriwe na serikali.
Back
Top Bottom