kama ndio hivyo basi masha alituma hiyo msg kwa mengi na kamA HAKUTUMA KWA NINI ATOE SIKU SABA? KWA HIYO MENGI ANA HAKI YA KUMSHITAKI MASHA KWA KUMSINGIZIA KUWA YEYE MENGI KATUMIWA MSG NA MASHA ==================HAPA KAZI IPO
Kutokana na maelezo ya mzee mwanakijiji namuunga mkono kabisa huyu mama kanisa lake hata ukiangalia mahubili yake ni ya kujisifia tuu lazima tanzania tuangalie haya mathehebu ambayo sasa yanaota kama uyoga mengi yapo kwa ajiri ya maslahi na hata ukiangalia
kama ni kweli basi wachonga dili na wakwepuaji ni amoung tanesco haohao kwani hii ni michezo yao michafu .we jaribu kuangalia mafuta ya transfoma wao.nk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.