Kitu pekee ninachoamini na ndicho Mh.Rais alichokiona ni kwamba Kangi hakuimudu Wizara ya Mambo ya Ndani.
Alikuwa anarukaruka tu.Hata job description alikuwa hajui.Mara aingilie kazi za IJP kutumbua ma-RPC,Mara aingilie kazi za Amiri Jeshi Mkuu na Kumuamuru IGP asimame Paredi na Mbwa.
Yaani...
Mafundi na wenye magari naomba kueleweshwa tatizo la gari langu. Asubuhi nimeamka kwa ajili ya kwenda Kanisani, baada ya kushusha handbrakes na kuanza kuondoka, tairi la upande wa kulia nyumba likagoma kuzunguka. Nikilazimisha linaslide tu.
Kwa kweli sijajua tatizo mpaka sasa. Mwenye utaalamu...
Mkuu unachekeza.utengenezaji wa Toothpick unahitaji uwezeshwaji wa Mtaji.Kama huna Mtaji ni kazi bure hata kama una 1.7.
Dr.Gharib Bilal na mtaalam wa Nuclear .Jiulize kwa nini hatengenezi Kombora la Nuclear au Umeme wa Nuclear?
Nimefatwa na Mama mmoja asiyejua kusoma lakini yupo kwenye ndoa.
Ameishi na mumewe kwa zaidi ya Miaka Kumi lakini hakubahatika kupata Mtoto.
Mume wake kamshawishi wamrithishe kijana mmoja Mali zao pindi watakapofariki.Inasemekana kijana huyo amejikomiti kutoa huduma zote kwa hao wazee kwa...
Chain of Command ndio inayotuonyesha nani mkubwa kati ya Mkuu wa Magereza na Colonel.
Katika Baraza la Mawaziri Chain of command inatuonyesha Waziri yupo karibu kuliko Mkuu wa Mkoa.
Katika ugh'atuaji wa Mamlaka ya Serikali,Chain of Command inatuonyesha Mkuu wa Mkoa yupo karibu na Rais ijapokuwa...
Kitaalamu ni Kwamba Saluti ya kijeshi ikipigwa kwa mwanajeshi aliyekatika uniform naye atajibu kwa salute sio kwa kubana mikono.
Kama huyo Kanali hakujibu kwa kupiga Saluti ina maana hiyo salami haikuwa yake.
Wewe huelewi kitu.
Toka lini Colonel akawa mkubwa kwa Mkuu wa Jeshi la Magereza?.
Yaani Kanali ambaye hana hata uwezo wa kuwasiliana moja kwa moja na Mkuu wa Majeshi awe sawa na Mkuu wa Magereza anayewasiliana moja kwa moja na Rais?.
Punguzeni bangi vijana.
Angalia usiwehuke.
Katiba inaonyesha Majeshi yaliyopo Tanzania ni pamoja na JWTZ,POLISI NA MAGEREZA.
Wewe unasema hizo ni Siasa.Kwani hujui Siasa ndio inaongoza Dunia?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.