Alipokuwa NCCR-Mageuzi aliwahi kusikika akisema CCM ina UKIMWI. Leo aje atuambie ni lini imepona gonjwa hili hadi yeye arudi huko na kuanza 'kujamiiana' nayo!
Ukisikiliza yale mahojiano unaishia kusema kweli kijana wa bongo kachoka kachakaa! Tatizo letu sisi wabongo ni watu wa matukio. Baada ya siku mbili hili tukio la BBC halitakuwepo! Lakini ni huyuhuyu alisema vibinti vya kike vinavyobakwa na kupewa mimba ni kiherehere chao. Sio huyu alisema hajui...
Ndugu zangu mimi naomba kutofautiana na nyie. Mimi nina imani anachofanya Kibonde ndio msimamo wa Radio anayoifanyia kazi. Kumsakama Kibonde peke yake ni kutaka kusema yeye ni mmiliki wa Clouds. Ukitaka kujua yanayotokea Clouds sikiliza na vipindi vingine kikiwemo Power Breakfast. Kuna hawa...
Huitaji elimu ya chuo kikuu kubaini kwa nini hii makala haikuchapishwa. Na siamini aliyeiandika ni mwandishi wa kiwango kilichodaiwa hapa, vinginevyo ajitokeze kwa jina lake halisi kama kweli ni jasiri.
Ni malezo yenye kubanisha chuki ya mwandishi kwa Kamwaga na hakuna hoja zozote zenye...
Binafsi mimi nilikuwa mshabiki mkubwa wa Kamwaga. Nilianza kuona dalili za uandishi wake kubadilika! Akawa anatumia muda mwingi kumwandika Lipumba na CUF Bara. Hatimaye akaibuka na makala ile. Nilipomaliza tu kuisoma nilimwandikia sms nikimwambia huyu siye yeye tunamjua! Kwa mtu anayeisoma...
Eric ulimsikia Lissu? Au unaunganisha maneno vipande vipande. Tundu alisema yeye ni muumini wa Serikali tatu ambayo ni sera ya chama chake. Lissu hakumung'unya maneno pale na ndio maana hukuona muongozo wa spika au adaiwe ushahidi wa maandishi. Wakatae kama Kawawa hakukiri hadharani kuwa mambo...
Spin doctor at his unsurpassed! Tutasikia mengi hadi mwaka 2015. Ila hili la kuwazushia MAREHEMU!!! Halivumiliki. Mi Nyerere aliniambia Mkapa lazima aniachie madaraka! Mbona sikuachiwa! Abeid Karume kabla hajafa alisema Miraji Kikwete ndiye Rais wa TZ 2015
Jamani,
Kwa muendelezo wa maongezi haya inaonekana kama hawa WAKUBWA huwa hawafi kwa kudra za Mwenyezi Mungu au ilivyo ni kwamba wenaopaswa kufa kwa kudra za Mwenyezi Mungu ni walalahoi tu. Nataka kuuliza hivi Mke wa Kibona au Gilman kuwa hai hadi leo ina maana kwamba hao jamaa hawawezi kuwa...
Mwisho wa siku eti wanataka kuvunja Muungano! Pinda aliwaambia WAJARIBU waone! Naomba kuuliza hivi Jumbe kuishi kule Mji Mwema kilikuwa kifungo cha nje au aliamua mwenyewe?
Sina uhakika na GR alikufa na nini. Lakini Kibona alikufa na Ngoma na mwanamke alimuua ndiye alikuja kumuua na Charles Kabeho. Kibona alikuwa Waziri wa Elimu na baadaye akarithiwa na Charles Kabeho.
Familia ya Rutihinda ilipatwa na janga la kufiwa na watoto watatu ndani ya mwezi mmoja...
Huyu Askofu kama mnakumbuka siku zile za nyuma alipohojiwa na BBC alitetea Ushoga kwenye Kanisa lake! Hivi unategemea Shoga anaweza kusema nini zaidi ya upupu wake huu! Ptuuuuu! Na kama anapenda kwenda Ulaya na kama ana nyumba zimetapakaa Dodoma basi huenda amezipata kwa biashara yake hiyo ya Ulaya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.