Naam... pengine kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania tumempata mwanasiasa "malaika". Mwanasiasa huyu asiye na mawaa ni mwerevu kupita wanasiasa wote ndani ya chama chake na Taifa kwa ujumla wake. Mwanasiasa huyu ni kijana na mara zote amekuwa kwenye migogoro na wenzie chamani kutokana...
Gazeti limeandika hivi:
"Leo, ni mara yangu ya kwanza kufika Kigoma, lakini kwa jinsi ninavyoona mpangilio mzuri wa shughuli hii, naamini kabisa kuwa, Zitto Kabwe aliyeandaa hafla hii na kuwakusanya wasanii wa Kigoma kuwa kitu kimoja anafaa kabisa kuwa rais ajaye wa Taifa letu. Na haya...
@Mzee Mwanakijiji Sijui kwanini umeamua kumsemea Zitto lakini mwenyewe amekiri kuwa hili ni lake binafsi kwenye utetezi wake (ndani ya uzi huu) amesema anaamini mafuta si suala la Muungano toka mwaka 2009, sasa wewe kuja na Ilani ya CDM ya mwaka 2010 sijui unamaana gani wakati ni dhahiri kuwa...
Huyu Mzee wangu kalizua..mana watu watataka uwiano wa Kidini na haiishii kwa Ukristu na Uislam tu...twende mbali mpaka kwenye Ukatoriki, Anglikana na Ulutheri, kwenye Usuni na Ushia, kwenye dini za asili, Butha na Uhindu. Tukimaliza hapo tuje kwenye uwiano wa kijinsia. Tukimaliza hayo uwiano wa...
a. Yeye mwenyewe kwenye fomu kaandika kazaliwa Thika-Kenya "ataonesha" vipi kuwa hakuzaliwa Kenya?
b. Kama alizaliwa Kenya na akaukana uraia wa kenya iko wapi "renunciation certificate" ambayo ofisi ya Uhamiaji hawana?
Mazuri ya JK ???? Ili iwe nini?? kwa faida ya nani??...Bora kusema mabaya ili ayajue ajirekebishe bado ana miaka mitatu ya utumishi. Sasa mazuri halafu....??? msonyoo...!
Mkuu Superman mi naona kuna mgongano wa kikatiba (Katiba ya JF), Humu JF hatujuani kijinsia (ukiondoa member wanaotumia majina halisi) sasa tutakua na uhakika gani fulani ni MALE au FEMALE ?? Mf. Mi naweza kusema bila shaka yoyote kuwa Faizafox ni kidume. Kama sisi ni Great Thinker basi tuishi...
Equation za wanasiasa zinasema: Zanzibar + Tanganyika = Tanzania; then Tanganyika = Tanzania bara; Zanzibar = Tanzania visiwani
Ila Zanzibar ipo lakini Tanganyika haipo.
Mkuu AJ hebu cheki posti namba 78 nimejaribu kuelezea kwanini Tanzania haifai kuwekwa kwenye kapu moja na hizo nchi za Afrika ambazo madadiliko hayakuzaa matunda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.