Jaman jk mbona unafanya mambo kammmmmma unatukomoa?sasa hii nazi unaikabidhi willaya itafanya nn?
Kwann usimalize kipind chako kwa aman?una nadharaulika kwa kuwabeba wasiobebeka
Nunua kifurushi cha mwez uone kama na ww utakua umeongeza tisa,hawa jamaa ni wehu kabisa,lengo lao tushindwe kujadili mambo ya ufisad na hiyo danganya toto la ambon tanga
Je mnajua ni kwa nn bundle zimepunguzwa?
Serikali wamegundua kuwa mijadala mingi ya kimapinduzi inafanyikia kwenye mitandao(haswa JamiiForums)so ili kuizimisha jibu ni kupunguza bundle la internet, haiwezekani lazima haya makampuni wamepewa maelekezo na wenye nchi, iweje makampuni yote yaongeze...
Duu kwel kuna watu wa ajab,mi ndo nimeripot hivyo na nimeshuhudia,kama huamin uliza mtu yeyote anayeishi au aliyepita maeneo ya ubungo mida ya saa moja akuhakikishie
Basi la kampuni ya Abood lililokuwa likitokea Morogoro, limemgonga na kumuua dereva wa bodaboda maeneo ya Ubungo Maji.
Inasemekana matairi ya mbele na nyuma yamempitia juu ya dereva wa bodaboda,yaani hatamaniki.Polisi wameshafika kurudisha amani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.