Search results

  1. S

    Kikwete: Nisingepewa Elimu na Kanisa ningekuwa nafanya biashara ndogondogo Chalinze!

    NAMUUNGA mkono kabisa mheshimiwa maana na mimi pia na dada yangu kama sio Kanisa leo, hivi tungelikuwa hai, sidhani. Na kama tungelikuwa hai tungekuwa kijijini tukijiliwaza kwa dadiii, gongo, ulanzi, mbege na kangara saa za kazi maana tusingelikuwa na kazi. Tunamshukuru sana Askofu Moshi wa...
  2. S

    Viongozi wa Dini na Hatma ya Tanzania

    TAFAKARI. Hivi kuna mtu mwenye utu, akili, busara na hekima anayeweza kukataa zuri akakubali baya; au wema akakubali maovu; au la faida akakubali la hasara na la ibada akakubali la ukafiri ? Haiyumkiniki iwe hivyo ila pale palipo na sababu maalum, iliyofichwa na inayojengewa ajenda ya...
  3. S

    TCRA: Ushauri wa bure huu hapa

    KATIKA dunia ya leo ni vizuri kupata ushauri wa wateja au watumiaji huduma au bidhaa fulani endapo unataka kufanya mabadiliko yoyote ya msingi. ZOEZI la kusajili namba za simu lingelikuwa rahisi sana kama haya yangelifanyika: 1. Fomu za kujazwa ziwe kwenye ofisi za Mwenyekiti wa Mtaa...
  4. S

    Mfanyabiashara na Kanisa wameuza kiwanja cha msikiti Buguruni Malapa?

    Waislamu wa MMmasjid Hawa Buguruni wanadai kwamba kuna njama imefanyika kati ya Kanisa na mfanyabiashara mmoja jijini ambaye kauziwa kiwanja kilichokuwa sio mali ya Kanisa ili kuepusha kujengwa msikiti karibu na eneo hilo. Ingawa mahakama tayari imetoa oda (injunction) ya kusimamisha ujenzi wa...
  5. S

    Madai ya Wenyeviti wa CCM Vs Kubenea

    HABARI za kuaminika zilizochapishwa katika magazeti mbalimbali nchini hivi leo zinasema kwamba Viongozi wanne wa chama cha Mapinduzi wanamshtaki Bw. Said Kubenea, Mhariri wa gazetil lililosimamishwa na serikali ya Chama hicho kwa madai ya uchochezi ambayo hayakupitia polisi wala mahakamani...
  6. S

    Tanzania's GDP: Hivi tunajua hili?

    I think this is a pre-independence product, child, if not my God bless him or her! same excuses, same scapegoats and such a hatred for a very,very white and opaque ttuth. Has he or she ever been to the rural areas and find for self how hardhit is the ordinary Tanzanian. For a job...
  7. S

    Tanzania's GDP: Hivi tunajua hili?

    Mbunge, ACHA kuota ndoto za mchana. CCM iachie mikoa? Wenyewe si unaona ni product ya recycling toka enzi za Uhuru na hawana lolote jipya. Ukitaka maendeleo ya kweli ni lazima tuwe na decentalization na wakati huo huo inegration ndani ya kitu kikubwa zaidi. Hili lina faida kubwa ya kila...
  8. S

    Bunge la Taifa lizungumzie kitu gani?

    NAOMBA Bunge letu tukufu liwe linaheshimu sala lya Ijumaa. Je, wabunge ambao ni Waislamu mnaburuzwa au ndio walewale ambao wanauonea aibu Uislammu wao. Hivi nyie mnamuogopa Mungu kweli au ni wanafiki!!
  9. S

    Bunge, sala ya ijumaa na sensitivity to religious issues

    NAAM, sasa nadhani nimejua kwanini kuna baa zinajengwa karibu na misikiti au kanisa; kwanini nguruwe wanafugwa jirani na Waislamu; kwanini magesti hausi yako nyuma ya makanisa na mambo kama hayo. Hivi Waziri Mkuu na Spika naye hawakujua kwamba Ijumaa iliyopita yaani tarehe 30 Agosti 2009...
Back
Top Bottom