NB: UPDATES
Wakuu, naomba kuchukua fursa hii kuwapongeza wote waliofanikiwa kuwasiliana nami kuhusu hitaji langu la lines za wakala. Hatimaye nimefanikiwa kupata lines zote, na hivyo nawashukuru sana.
Ahsanteni sana.
Wakuu,
Bado sijafanikiwa kupata. Nimejaribu kuwaandikia kwa pm lakini hakuna majibu mpaka sasa. Simu pia nikipiga hazipatikani. Mwenye line hizo tajwa naomba tuwasiliane kupitia 0715060229.
Ahsanteni.
Wakuu,
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, nina jamaa yangu anahitaji line tajwa hapo juu. Anapatikana Dar es Salaam. Siyo lazima uwe na line zote. Hata kama una 1 au mbili kati ya hizo lines unaweza kuwasiliana naye kupitia pm hapa hapa JF au email address: lindinachingwea@gmail.com...
Dada, Kwa usalama wa mwanao na wewe omba talaka. Hali hiyo inamuathiri mwao kwa jinsi ya hatari hasa kwa siku za baadaye. Kumbuka si mmeo wala ndugu zake mwenye upendo na huyo mtoto na hata wewe tangu uliposhika ujauzito, hivyo hujui kinachopangwa dhidi yako wewe au mwanao. Kumbuka wale ndugu...
Mkuu sio CRDB pekee, Benki nyingi zimesitisha mkopo kwasasa lakini hawawezi kusema, kwani ni agizo toka kuleeee!!!! Benki pekee inayoweza kukupa mkopo kabla hawajaacha kwasasa ni NMB. Mengine sina taarifa, lkn kwa CRDB usiendelee kupoteza muda, kwani kwasasa hawatoi tena mikopo.
Mkuu Kabas, Kati ya hizo mbili ipi iko poa zaidi na location ni wapi? Nitakaa hapo zaidi ya wiki, hivyo nahitaji sehemu tulivu ili niweze kufanya majukumu yangu. Naomba usinichoke tafadhali nisaidie hizo taarifa Mkuu.
Kati ya hizo ipi ambayo iko vizuri zaidi ukirejea mahitaji yangu na gharama ni shs. ngpi Mkuu? Je na location ni wappi hapo Mwanza? Naomba univumilie mkuu kwa maswali zaidi.
Bei ya Hotei ni Tshs. Ngapi kwa Mwanza? Mbona hata Dar na Arusha zipo Hoteli nzuri kwa hiyo bei? Naomba msaada wako kama ipo sehemu nzuri unayoijua kwa hiyo bei na inakidhi hivyo vigezo tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.