Haya ndiyo matunda ya usanii wa Serikali yetu.
Ilikubali KUZUIA uwindaji haramu wa tembo. Badala yake ikaridhika tu KUWAKAMATA majangili wanaoua tembo na kuwanyang'anya nyara ilizowakuta nazo.Ushahidi (Exhibits) ndiyo hilo lundo la meno; la sivyo ieleze meno hayo yamepatikanaje. Haijafanya lo...
Sijaipata sawasawa.Tupeni hotuba yake tusim"quote" out of context. Vinginevyo hatujamwelewa anataka kusema nini....
Au kulikuwa mvinyo pale???
Ni sawa na mwizi anayasema yake kamba tu, mbuzi aliye mwisho wa kamba kanasa mwenyewe!!!!
Ongeza Ponsian Nyami, Mbunge wa Nkansi. Hakuonekana Bungeni kwa miaka 3 alipoenda kusoma akiwaacha wananchi bila Mwakilishi. Sheria zetu bwana... Toka arudi hana lo lote....
Kwa Mashehe waliokuwa Mnazi mmoja, wenye dini nyingine ambao wao wanawaita makafiri, si Watanzania au ni second class citizens. Hivyo wao Waislamu ni wengi zaidi, au wana haki zaidi kuliko wote!!!!!
Jamani... Hawa Masheik na wafuasi wao Waislamu hawataki kukabili hoja... Badala ya kuushambulia ufisadi, wanaelekea kushambulia Serikali na kanisa tu... Naomba Mungu huo usiwe msimamo wa Waislamu wote.
Kama kuna mwenye Waraka wao huo, atupostie hapa tuuchambue zaidi ya kuamini matamko tu...
Ni kweli ndugu yangu. PPF inanyonya wanachama na kunufaisha wasio wanachama kama huyo uliyemtaja. Imulikwe.
Lakini angalia usijeburuzwa kortini kwa kutaja majina hata kama utadaiwa shilingi moja kama Bwana Mengi.
Pia chunga wazee wa Yanga wasikuweke kwenye luninga ukashindwa kuwajibu!
Hapa hakuna laana. Ni uwoga wa Serikali zetu wa kupinduliwa.
Toka 1961, wanajeshi walianza kusambazwa kila kona ili isitokee kambi yo yote yenye nguvu ya kuweza kupindua serikali, kama ilivyotaka kujitokeza wakati ule. Wamefika mpaka kuishi uraiani. Wakati wa chama kimoja, siasa ikaingizwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.