Hapa duniani, kila kitu kinahitaji kufanywa kwa kiasi. Fikiria kula, yaani kula ni LAZIMA ila ukila kupita kiasi ni tatizo.
Shida yako umepiga mkono kupita kiasi.
Hizi ni nadharia tu, kupeana moyo kwa ajili ya yasiyojulikana. End of man is death, baada ya hapo unachanganyikana na udongo kwa ajili ya viumbe wengine waliopo hai.
Usafiri wa umma na hasa daladala ni kero na laana kubwa sana. Ni basi tu hatuna magari binafsi ila asubuhi ukifika stand ya daladala unatamani kurudi home.
Sio bodaboda tu, hata wewe mwendesha gari, mtembea kwa miguu nk kuimaliza siku na kurudi home kw wapemdwa wako ni kushukuru tu, huko barabarani na mitaani kuna mabalaa mengi sana.
Mwanamke ni msaidizi, unajua kazi ya msaidizi?
Unajua CEO huwa anafanya kazi chache sana kulingana na wasaidizi wake?
Siku zote msaidizi ana majukumu mengi kuliko kiongozi wake.
Hata dada(house helper) anafanya kazi nyingi kuliko bosi wake na huyo ni msaidizi tu.
Bottom line, let women work...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.