Habari zenu machef wa JF naombeni msaada njia gani rahisi ya kumpika bata awe mtamu. Sijawahi kula bata kabisa wala kumuandaa.
Mwanangu kashinda mashindano ya michezo huko shule akapata zawadi ya bata sasa sijui pa kuanzia maana nasikia hapikwi kama kuku.
Naombeni msaada kuanza kumnyonyoa vipi...
Kuna mdogo wangu mdada ana agents wake huko nje ya nchi ambao humletea wageni.sasa anahitaji mtu ambae ana kampuni ya utalii ambayo ina sifa zifuatazo;
-iwe na uzoefu wa kufanya kazi na volunteers
-iwe na apartment(nyumba ya.kulaza wageni)
- iwe ni kampuni ndogo ambayo ndo inachipukia isiwe...
Jamani habari zenu.
Leo nimetoka kanisani nikamkuta mgeni nyumbani kwangu muda wa saa mbili asubuhi.naanbiwa alifika tu nilipotoka ile kumi na mbili kasoro.si mwingine bali ni bint ambaye nilisimamia ndoa yake mwaka jana mwezi wa kumi na moja ana mtoto mmoja na umri wake ni 26yrs...
kwa wale wadogo zangu waloomba nafasi mvalimbali katika halmashauri ya jiji la arusha nimeona majina yenu tembeleeni
www.arushacc.go.tz/
kuna ndugu yangu nae kabahatika kazi kwenu mjitahidi kwenye maswali sasa.
Wataalam salam kwenu.hebu niambieni kama kuna uwezekano huo.naweza kumtumia mtu ujumbe kwenye whatsapp bila yeye kupna namba zangu? au naweza kuweka namba yangu invisible asiitambue?
Jamani wezi wa mabwana za watu mmesababisha kuwepo vikundi kama hivi.
Kwa Arusha sijasikia wala kuona labda mikoani.
TANGAZO TANGAZO TANGAZO
LAURAPETTIE a.k.a LP MSUTORING THEATRE GROUP
Hiki ni kikundi cha kukodi kwa ajili ya shughuli za msuto. Tuko akina dada watano tu na tuna vifaa...
kwa yeyote atakayeisaidia wapi nitapata Karela tafadhali.nipo Arusha ila hata wa mikoani nitapokea tu.tafadhali nijulisheni ama mwenye nayo anijulishe.asanteni.kwa ushirikiano wenu.
Ndugu zangu,kuna wifi yangu amekuja kunitembelea amekunywa dompo akachanganya na konyagi sijui kama kuna vingine maana hizo ndo naziona.amelewa sana mpaka amezimia.mim si mnywaj so, sijui hata nimpe nini kikate kilevi.ametapika sana kabla hajazimia nlichofanya nimempa huduma ya mtu aliezimia tu...
Habar zenu wandugu.
niliwahi kuomba msaada hapa kuhusu laptop yangu iloungua IC ila sikupata suluhu.
naiuza kwa yeyote anaeweza kuichukua hasa kwa mafundi.
ram 2gb
hdd 250
naomba mniambie bei jamani.kuna anaetaka ram na hard disc. sasa sijui nimuuzie bei gan wataalam nisaidien.kama...
Habari zenu wakuu,
Naomba anaefahamu zilipo ofisi za kampuni hii ya wajerumani inayohusika na usambazaji wa umeme wa solar kwa hapa Arusha anisaidie.Hata contacts zao jaman nimegoogle sioni chochote kwan website yao haijitoshelezi..Ahsanteni kwa ushirikiano wenu.
Kwa hapa Arusha mwenye harrier nyeusi aache namba ama anipm tafadhali.Ndo hitaji la bwana harusi hata akishauriwa abadili gari hataki.
Naona ndo fantasy yake natakiwa jibu kikaoni kesho.Tafadhali sana anaejua ninapoweza kuipata hapa Arusha .
Jamani mimi ni mpenz wa series za kikorea
niambieni nzurinzuri kama Giant hivi ama east of eden ama scandal nataka za sampuli hii za.kifalmefalme sipend sana.napenda za visasi na mkono kidogo.
asanteni
habar wandugu..
Samahan kama nitakua nimekosea kuiname hiyo simu..
hii simu jamani nikirecord video baadae nikizitafuta sizioni kabisa..nimeenda mafaili yoote sizioni ila picha naziona..anaejua kwenye hii simu zinajificha wap jaman anisaidie..ninayo samsung galaxy tab naziona bila shida ila...
Habari zenu wandugu.
Kuna wifi yangu nimeona jina lake ameitwa kwenye interview tarehe 7 huko Dar wizara ya afya na ustawi wa jamii..Ndo kwanza amejifungua jana tena kwa kisu sasa jamani naombeni kuuliza anawezaje kuipata haki yake ya kufanya hiyo interview kwa baadae maana kwa hali aliyonayo...
Habari zenu jamani hope mko poa,
Ndugu zangu nawashukuru kwani kuna watu wapo serious hapa nilishatafuta mfanyakazi hapa nikapata. Sifa za mhusika umri kuanzia miaka 18 msichana mwenye maadili ya Kitanzania (sitaki sistadu) elimu kuanzia form four, awe single (asiwe na mume) kazi za kufanya...
Habari zenu ndugu wana JF wa jukwaa hili..
Nimejifungua watoto mapacha mnamo tarehe 15/4/2014 mpaka leo bado damu inatoka ingawaje ni vimatonematone.nauliza jamani kwani ni uzao wangu wa kwanza..ni sawa mpaka sasa damu/uchafu kutoka ama nina tatizo?
Na je kawaida damu/ hukata baada ya muda...
Jamani ndugu wana MMU labour siyo mchezo jamanii duu..hasa sie wa mapacha kila mtoto ana uchungu wake..namshukuru Mungu wa mbinguni nimejifungua salama salmini..kazi kwenu kunitafutia majina...
cc: miss chagga, defend or die, excel, na wengineo! ONE LOVE!
Sehemu ya kwanza
Ilikuwa ni siku ya jumanne mida ya saa kumi nambili jioni Mzee Ndesanjo alikuwa akiendesha gari aina ya Eskudo. Alifika nyumbani naharaka alishuka ndani ya gari kitendo cha kuingia ndani tu alianza kuita kwa sauti "Mama Joyce MamaJoyce" huko chumbani Mama Joyce alimsikia...
Ajali mbaya imetokea Hedaru-Majengo same ambapo watu 10 wamefariki dunia papo hapo ambao ni wanawake waliokua wanaenda msibani na kadhaa kujeruhiwa..baada ya gari lao double cabin kugongwa kwa nyuma na lori lililokua likitokea moshi kuelekea chalinze.
majeruh zaid wamekatika viungo kwa kulaliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.