Jamani kwani mwanamke si ametoka ubavuni mwa mwamme? au hilo hulijui? Hio kitu ni kwa wote. Hata wanaume ni vivyo vivyo kama wanawake. Sema tuu sisi wanawake tuna hisia kali na ni waoga. Wasiwasi wa huyo binti ni kuogopa bigudha na kuhofia asionekane changudoa fulani. Upo hapo the Zekidon!!
Ntashukuru sana ndugu,
Hio simu nililetewa kutoka Sweden, ni aina inaitwa Sumsung galaxy pocket. Ziko mbili na details zingine ni
IMEI:359078/05/288528/5 -Comviq -Sweden
IMEI:359078/05/286916/4 -Comviq -Sweden
Asanteni kwa msaada wenu.
Asante ndg mpendwa kwa mafunzo hayo...ila hawa wenzetu hawatabirikagi. Unaweza kuwa una perform all those vipengelez ila baaadooooo akatoka njee. Ngumu kweli kuwaelewa.
Za leo wandugu,
Jamani naombeni msaada, mwanangu wa ana 4 months ila anasumbuliwa sn na mbaa mwingi kichwani, kapimwa damu kakutwa na deficiency of Zinc minerals. Na kwa sasa yuko kwenye doze for one week...but no improvement kichwani. Ila sehemu zingine za mwili zimeanza kurudia hali yake ya...
Jamani asanteni sana kwa walionipa moyo. Maana naona kama wengine wanadhani na joke vile. Niko nchi za nje, nijibu swali kwa walioniuliza. Uoga lazima uupate kama ni kwa mara ya kwanza. Mimi niliitaji mtu mwenye uzoefu au Dr. kabisa anieleze jinsi huwa. Ila nashukuruni sn. Will let u know when...
Za leo wandungu, jamani naombeni mnisaidie mimi na kitu shingoni kimevimba na natakiwa kufanyiwa operation.
Ila kila mda ukifika na cancel nakuweka tarehe nyingine. Shida yangu kuu ni kuogopa kaputi.
Nisaidieni jamani, hivi eti kaputi huu ua na ni nini nifanye ili nitoe huu uoga.
Naukiwekewa...
Tuache propaganda mwanauume pochi bwana na kuchunwa ndo raha yake hata kuutwa MWANAMUME. Ila kwa ayafanyayo huyo mwenzetu ni umalaya tena ule wa kumumaliza mtu. Hafai huyo tupa yeye kwenye dustbin.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.