Aloo umekomaa kweli,utadhani TB Joshua sio nabii fake, he is.Yeyote anayetoa unabii usiotimia ni nabii fake.Ameshatoa nabii ambazo hazikutimia.Hiyu ni characteristic moja tu ya nabii wa uongo,Zipo nyingi ambazo anazo.Sikio la kufa halisikii dawa.
Lipo jambo la kushangaza ambalo jamii, vyombo vya kisheria na asasi za kiraia zimelifumbia macho.
Wapo wazee waliostahafu mpaka hata miaka mitatu iliyopita lakini mpaka leo hawajasafirishwa,kwa maana kwamba hawajalipwa nauli ya mizigo na likizo ya mwisho.
Upo mpango wa kuipeleka serikali...
Na CCM wanataka nini.Watanzania kweli hamnazo.Hivi lazima uandike thread.Yes, Tanzania ni ya tisa kwa ujinga kutoka nchi ya mwisho.Kwa jinsi hii ni sawa kabisa.
Sijawahi kutoa comment yeyote juu ya mwenendo mzima wa mchakato wa kuandika katiba mpya.Ilikuwa ni kichekesho na aibu kwa Tanzania.Ilikuwa inaleta kichefuchefu.Ni kama Watanzania wote ni mataahira hivi.Ninachojiuliza ni kwamba,watu ambao hawakutumia busara kabisa,na kufanya upumbavu wote huu na...
Ukiangalia haraka haraka utaamini kwamba vyombo vya kutoa haki vipo kwa ajili ya Watanzania wote.Hata hivyo uchunguzi wa karibu proves otherwise.Ulipuaji wa mabomu unaoendelea Arusha ungedhani somebody would be aprehended and procecuted.Lakini ni hadithi ile ile ya watu wasiohusika kabisa...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida serikali ya CCM imeshindwa kulipa wastahafu wake.Taarifa za ndani kutoka Wizara ya kilimo kitengo cha Utafiti zinaeleza kwamba wastahafu waliostahafu tangu mwaka wa jana hawajalipwa nauli zao za mizigo na likizo ya mwisho.Hii inashangaza kwa vile hela zenyewe sio...
Kwa mtu wa kawaida si rahisi kuona uhusiano huo,lakini upo.Umesema mahali fulani kwamba au inawezekana uwepo wa bendera hiyo ina maanisha kukubaliana na sera za taifa hilo?Upo sahihi kwa asilimia kubwa.Kama wewe ni mchunguzi utagundua kwamba kila alama iliyoko kwenye bendera ya Marekani ina...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida serikali imeshindwa kuwalipa wastahafu wake nauli za mizigo na likizo ya mwisho.
Inashangaza zaidi kwa vile hela yenyewe sio nyingi kiasi hicho.Wizara ambayo tuna hakika inahusika ni ya Kilimo kitengo cha Utafiti.
Baada ya kufuatilia kwa muda mrefu hakuna...
Kweli dunia hii imejaa wajinga.Kwa hiyo Bulembo anataka Mbatia auze uhuru wake kwa ajili ya tumbo kama yeye.Ndio sasa ajue kwamba kama yeye ni mchumia tumbo,sio wote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.