Inabidi uombe tourist visa na ubalozi wa Norway kwa sasa uko Nairobi. Ila kwa sasa tourist visa hutaweza kuingia Norway kwa sababu ya mambo ya COVID-19. Inabidi uvute subira kidogo mpaka mwaka kesho labda.
Kiwango cha uchapaji kazi kwa mtumishi wa UMMA kinapimwa na nani?! Kuna delegation of power ya upimaji huo unaoita uchapaji kazi ambao wamepewa ma-HR officer katika ngazi tofauti kuanzia taasisi, wizara, halmashauri n.k!
Inapofikia hatua HR officer amempatia mtu barua ya promotion ina maana...
Kwenye report iliyopo kwenye website ya tcaa.go.tz serial no inaishia na A0139/17 hiyo 140 umeitoa wapi mkuu! But nahisi umetoa ushauri mzuri ukiachilia mbali na uhakika wa hiyo series no yako uliyoweka
Mimi natumia jina la kiafrica kabisa hata passport yangu imeandikwa hilo jina! Kuna siku nimeenda bank kutoa kitambulisho dada aliyekuwa mhudumu pale akanicheka akadai sifanani na jina langu akashauri niende mahakamani kubadili jina! Uko tuendako majina haya ya ukoo yatapotea kabisaa! Vijana...
Sikatai kwa hilo maana najua kuna wakubwa zangu tu wengi humu na wengine wananizaa kabisaa! Ila na mimi nina wadogo zangu pia humu humu!
Sijakukatalia mkuu ndiyo maana sijawahi toa lugha ya matusi yeyote maana haileti heshima yeyote! Mimi nashauri watu wapingane kwa hoja!
Mfumo wa picha umekuja juzi tu! Mimi nimemaliza form four 2003 hakukuwa na picha kwenye vyeti bado
Pia hicho si cheti ni results slip huwa zinatolewa hata kama umepata zero
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.