KWELI Tunasherehekea siku ya uhuru wa Tanganyika. Mimi pamoja na maccm wote tumeungana kwa pamoja. Hata na wewe unayedhani husherehekei tumekulazimisha kusherehekea nasi iwe ni kuadhimisha machungu ya zaidi ya miaka hamsini ya utawala wa mkoloni mweusi au hata kusherehekea jinsi mkoloni mweusi...
Sasa hivi site inafunguka. Tangazo linahusu vijana wanaotarajiwa kumaliza masomo yao mwaka huu 2013. Kama ni fomu hiyo nakumbuka ilishawekwa hapa. Pia hilo tangazo lin aeleza matarajio ya polisi kuajiri wahitimu wa kidato cha nne 2012 na kidato cha sita 2013 ambao walijaza fomu kabla ya mitihani...
Kweli Zitto karudi kazini kama hata Taswira sasa hivi anaisifu CHADEMA kama taasisi na wala si mtu mmoja hapo safi. Jamani sisi WANACHADEMA tunampenda sana ZItto akiwa kama sehemu ya taasisi. Ukosoaji huwa unaanza pale anapotafuta mamabo yake . Zitto bado tunakuthamini sana
Suala siyo muono tofauti suala ni kutumika na kuamua kuwatukana viongozi wao tena kwa matusi ya nguoni. Wewe nusiyesikia kwa nini utuonee uchungu sisi anacdm? Ushahidi wa Kimazingira unaonesha namna ambavyo ccm walikuwa nyuma ya watu hawa! Ulishawahi kuona katibu mkuu wa ccm anatukanwa matusi ya...
Pole sana ninamhurumia huyu mzee kuwa na debe tupu kama wewe. Hivi huwa hauoni hata aibu labda kwa sababu wewe ni baharia. Ila inaonekana kabisa kuwa uwezo wa kufikiri hata tu kipropaganda ni mdogo sana. Ndio maana Nyerer alikataa msiwe wapanagaji wa Ikulu! Slaa tunampenda sana na kila...
Wanabodi leo hii nimeamka na nia ya kushiriki kutoa maoni yangu. Niliifungua vizuri tovuti hiyo na nikaweza kuandika maoni yangu lakini sikufanikiwa kuyatuma baada ya kuambiwa kuwa muda wangu wa hiyo wavuti umeisha. Baada ya kuona hivyo niliamua kuandika maoni yangu pembeni ili nije nipate...
Unapoongelea isiwe na maslahi binafsi kisiasa unamaana gani? Mtu anaweza kufanya maamuzi magumu ambayo yanamanufaa kwa umma na kwake binafsi. Suala la kwanza katiaka mifano ya maamuzi magumu ya Slaa dhidi ni pamoja na uamuzi wa kuwavua uanachama madiwani wa Arusha na Mwanza( unaweza ukadhani...
Ukweli unaujua namna ambavyo mheshimiwa Kagame hasiti kuchukua maamuzi magumu kawa maslahi ya nchi yake ndivyo ambavyo Dr. Slaa asivyosita kuchukua maamuzi magumu kwa maslahi ya chama chake. Kama unabisha hebu fananisha katika hilo lichama lako ni nani mwenye uwezo wa kusimamia sheria na...
Kwa kweli leo hii wameamua kusema kile wanachodhani kuwa ni tatizo kwao kuwa ni mtu anayeitwa Dr. Slaa. Wanaombea nguvu za mzee huyu ziishe wakidhani kuwa hakutakuwa na mwingine wa kuwapa tabu. Hivi hawajiulizi kwa mafano Zitto akaamua kutulia akazidi kuijenga imani ya wanacdm juu yake unadhani...
Aisee ulitaka mikakati iakafanyikie lumumba mh! Dr. Slaa ndiyo mfano wa Kina Kagame nchi ipo katika mstari. Binafsi ninampenda Slaa kutokana na ujasiri wake wa kusimamia kile aznachokiamini na kuwa tayari kukitetea. Tuliowapa dhamna wangekuwa na moyo wa chuma kama wa Dr. Slaa ninakuhakikishia...
Haki imetendeka. si lazima haki ionekane kutendeka kwa masalia ila kwetu wapenzi wa CDM tunaona kuwa haki imetendeka. Kama wewe haujatendewa haki hamia ambako unadhani utatendewa haki
CCM wanalilia nini masalia kupukutika? si walisema CDM hawaezi! Ninachoomba cdma mkuu wa masalia asifukuzwe endeleeni tu kumwangalia kwani kwa sasa ule umaarufu na kukubalika ndani ya cdm hakupo tena na hata yeye analijua kbisa kuwa wanacdm wengi hatumuamini licha ya uwezo mkubwa wa kisiasa...
Hili ni dua la kuku. Watanzania wengi ni wangapi. Wengi huweza kuanzia wawili. Endeleeni kuombea hilo anguko la cdm kwani ndio wajibu wako pia. Ila kumbuka Mungu anakubali maombi ya wenye haki!!
Mkuu Paschal! Ninakusalimu ndugu yangu. Baada ya salamu ninaomba nitofautiane na juu ya hoja zako. Msingi wa mimi kutofautiana na wewe unajikita katika historia ya maandiko yako hapa JF na namna ulivyoanza kwa kujihami na kumalizia kwa kujihami.
Nikianza na Historia yako ya maandiko yako hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.