Wanajamii leo nimeamua kujitokeza kutangaza nia, nahitaji mume, mimi ni bint nina miaka 28 mnene kidogo 90kg,urefu 165m kitanzania tunasema ninaumbo namba nane na nina mtoto mmoja, nimetokea kaskazini yani (Mchaga pure). Vilevile ni degree holder na ninafanya kazi.
Sifa za ninaemuitaji ni...
Naitwa Consolata ni msichana wa umri wa miaka 24,nina certificate ya forest kutoka chuo cha kimoja Moshi, nimetafuata kazi kwa mda wa mwaka sasa sijapata,ni kweli elimu yangu ni ndogo sana lakini ndo uwezo wangu ulipoishia kwa sababu nimejisomesha mwenyewe na wazazi wangu hawajiwezi,
Wanajamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.