Ligi ya Mashujaa mtaa kwa mtaa mkoani Lindi iyozinduliwa hapo juzi tarehe moja na mkuu Wa wilaya ya kilwa ndugu Christopher ngubuyagai imeendelea hapo Jana kwa kuheza michezo kadhaa ambampo matokeo yalikuwa kama ifuatavyo
Manchester united kutoka njinjo ilipiga kipigo cha paka mwizi watoto Wa...
mimi ni mwalimu nipo kilwa mkoa wa lindi natafuta wa kubadilishana nae wilaya yoyote ya mkoa wa tanga au kirimanjaro na arusha pia lengo kurudi karibu na nyumbani kama upo tayari nipigie kwa namba zifuata 0787421008
mimi ni mwalimu idara ya sekondary nipo kilwa mkoa wa lindi natafuta wa kubadilishana nae kutoka wilaya yoyote katika miko ya tanga, kirimanjaro, na arusha KWA ALIYE TAYARI TUWASILIANE KWA SIMU 0787421008 AU 0656041231
hawa jamaa hawana huruma kweli walisema watu wajaze form kwa kuandika majina vyuo na namba za simu kwa madai kabla ya tarehe moja watatoa lakini tuliona majina ya st john tu xaxa sijui ndio wenye haki ya kuajiriwa
jamani naomba mnisaidie dawa ya kuongeza dushelele kwani watu wengi wamekuwa wakihangaika kutafuta dawa hiyo ila wengi wamekuwa wakidanganywa kwa anayejua anifahamishe kwani wana shindwa kufurahiya ndoa zao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.