Kuna sehemu nimewahi kusoma kuwa wakimbizi wengi wenye hadhi ya Paul uhifadhiwa katika nchi husika kama sehemu ya trade hapo baadaye...means pale linapokuja suala la biashara watu wanakutoa kafara
Huyo mtoto anapoingia ndani tayari anakuwa mwanae pia...so lazima imgarimu malezi yote yanayopaswa mtoto kupewa....kwa lugha nyingine anakuwa baba mlezi na atatakiwa kutoa matunzo yote. Yeye ni Baba na Kichwa cha nyumba. FULL STOP
Bro! yaani hata usipoteze muda kabisa kuomba ushauri....huyu mdogo wa mke wako anandugu zake wengine huko ikiwa ni pamoja na hao kakazake, dada wengine, shangazi, bibi na wa upande wa jamaa waliompa mimba....waende wakeleane huko...tena weka uso wa mbuzi kabisa! kama alikuwa tayari kubeba mimba...
Nimejifunza kuwa mtoa taarifa wa kigogo ametegwa akaingia kingi na sasa kajulikanaa...inshort inawezekana sytem imeinjia hizi taarifa wakitaka kumpata mvujishaji wa taarifa za ikulu na wakafanikiwa baada ya kumuingiza mkenge naye akashare info kumbe si kweli.
So i hope wamemcontain baada ya...
Kudadeki zenu...pamafy, inawezekana Wamarekani wamestukia michezo yenu michafu ya kutengeneza matukio kwa ajili ya political gain...mlitaka mtengeneze tukio liwe next level limejificha kwenye sura ya kigaidi kwa ajili ya political gain kwa bahati mbaya wametibua mchezo mchafu....
Nakubaliana na wewe mwaka flani nilifanya kazi kama producer msaidizi kitengo cha utafiti basi nikawa nawatafutia data watangazaji kwa ajili ya kusupport hoja kwa topic wanazokuwa wanatakiwa kuzitengenezea vipindi...trust me...hawa jamaa pamoja na unadhifu wao waliweza kudadavua tu kwa asilimia...
Wanabodi jana nimeenda TRA kwenda kufanyiwa tathmini ili nilipe kodi kwa ajili ya biashara yangu ndogo ya banda la chips, lakini nimeshangazwa baada ya kufanya hesabu zao wakaniandikia nilipie na Withholding Tax..! Naomba kufahamishwa kwanni wananitaka kufanya malipo hayo. Kwani navojua malipo...
hilo pumbu ukilishika afu ukakosea kulishika vema....basi ujue ushakufa....maana hasira zake huyo mwanaume zitakuwa bora za mbogo....trust me eneo unalidhamiria kushika maumivu yake ni sawa na kuingiza mkono mdomoni utake kutoa moyo wa jamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.