Hiyo safi sana, ila agizo hilo lisilenge akina dada tu pia wanaume wanaovaa suruali au kaptula huku makalio yakiwa nje washughulikiwe. Inatia kinyaa sana jitu linatembea barabarani huku likionyesha boxer yake chafu eti fashion, pumbavu zenu wavaa kata K wote!
Amiliki inawezekana kuna uafadhali katika upatikanaji wa maji baadhi ya sehemu tu, kuanzia stop over kwenda mpaka mbezi kwa yusufu vurumai ya magari ya maji bado iko vilevile kama zamani. kuna maeneo mengi sana ambayo hayajui maji ya bomba; makabe, mshikamano, msumi nk huku kote maji ni bidhaa...
Nakubaliana na mheshimiwa Sita 100%. Mabunge mawili ni kuongeza gharama zisizo za lazima wakati nchi ikikabiliwa na upungufu mkubwa katika upatikanaji wa huduma za jamii ikiwemo maji safi na salama kwa watu wake.
nyinyi mmepata umaarufu na ufuasi mkubwa sababu ya kuzushi na kutuhumu watu, leo mnaulizwa kuhusu tuhuma zilizotolewa na makamu mwenyekiti wa bavicha badala ya kujibu tuhuma mnaanza kutishia maisha mwandishi ama kweli mkuki kwa nguruwe......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.