Nenda hospital kubwa na utafanyiwa kipimo kikubwa cha mkojo (urine culture) majibu ni baada ya siku 4-7 then utapewa tiba
Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
Nmewahi kupata tazo hili mkuu nna tumia hp probook 6360b.
Solution fungua hyo fan then iwekee yale mafuta yake ya kulainisha imekauka so ikzunguka sana inatoa saut km mashine mkuu ilkuwa mwaka jana had leo tatzo ksha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habar wakuu nna pc yangu aina ya HP probook ci5 nlmuazmisha mtu akataka kuicharge kwa adapter tofaut ikapga shot ile adapta na pc ikagoma kuwaka pia imekatka huks (frame zlzo shkilia kioo) naomb kwa fund yoyote alie Arusha na anaweza solve hayo matatzo anchek pm au 0757897060.
Si ugonjwa bal huenda ikawa ni dalili ya gonjwa fulan (infection disease) nenda kapme especially magonjwa yanayo ambukizwa kwa njia ya tendo LA ndoa
- km huna moja ya magonjwa hayo basi automatically itakuwa kuna madini umepungukiwa mwln.
-tumia vdonge vya vitamins especially vtamn c Mara kwa...
Pole sana mkuu kwa tatzo
-Nini knapelekea mtu kujamba? Zipo sababu zpo nyng mojawapo na weng tunaifaham (nature ya chakula alcho tumia)
-lnapo kuwa too much tayar hlo ni tatzo:-
*kujamba kwa kujiachia bla hata haya/aibu ( psychological problem)
*kujamba ovyo ovyo hata km MTU hapend (digestive...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.