Search results

  1. M

    Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa JamiiForums...

    Nyani Ngabu, hongera kwa huu uzi. Uzi huu ukitumika vizuri utarudisha kule tulikokuwa JF, kama uwanja wa kuelimishana, kupashana, kuwaidhiana nk, na si uwanja wa matusi, kebehi nk. Kila la heri wana JF wote.
  2. M

    Pichani wahusika ghorofa lililoporomoka dar wapandishwa kizimbani

    Mpe haki yake bana, mahakama ndio itajua kuwa alikuwa na makosa ama la, sio suala la kuangalia yaliyopita huko shuleni. Jamaa yuko rumande, anafuata nyayo za Baba yake aliyetuhumiwa kutaka kumpindua Mwalimu.
  3. M

    Maaskofu Tanzania watoa Tamko, wakemea udini, ukanda na ukabila!

    Tatizo "mfumo kristo" umeanza kutingishika. Maaskofu hawaishi vituko, wanashindwa kujibu hoja za Waislam kwa kutaka Serikali iwajibie. Hilo halishangazi, manake ndio mfumo huo. Tamko kama hili likitolewa na Waislam huo ni uchochezi, lakini upande wa pili ni haki yao. Haya yananikumbusha yale ya...
  4. M

    usiku wa leo utaamua Tanzania inakwenda wapi..

    Kaazi kweli kweli....inanikumbusha Shehe Yahya....lakini kuna Nabii Josua pia.
  5. M

    Bw. Mohammed Said yuko wapi?

    Nguruvi ina maana Mohamed Said akiondolewa (kifo - siombi hilo japo wote tutakufa, kufichwa, kufungwa nk), haya yote yanayotokea hapa TZ hayatatokea?
  6. M

    Malawi gives Tanzania's ambassador 48 hours to leave Malawi!

    Katika vitu ambavyo tunatakiwa kushikamana ni wakati wa chokochoko ya vita. Sidhani kama una uzalendo kwa haya unayoandika, leo hii TZ ikipigana na Malawi waumiao ni ndugu zetu walioko kule mpakan na wapiganaji wetu, wengine nao tutaumia manake itabidi mambo mengi yasimame kwa ajili ya vita...
  7. M

    JK, Ki-Moon wateta mgogoro wa Malawi

    DM, kuzindua ramani mpya ni jambo la kawaida mno, manake TZ sasa ina Mikoa na Wilaya mpya. Sasa katika kuliweka hilo ulitaka mpaka usiweke, na kama ingekuwa hivyo mbona ramani zao wao wanaweka mpaka mwisho wa maji?. Pia tokea nakuwa ramani zinazotengenezwa na TZ zina mpaka katikati ya maji...
  8. M

    Majina ya waliopendekezwa kugombea EAC kutoka CCM

    Hawa wanakuwa 9, ndani ya hao CCM walikuwa nao 8 na mmoja upinzani. Wa CCM 8, watano wanatoka Bara na watatu Visiwani. Ila huyo mmoja wa upinzani, huwa anachaguliwa kwa mizengwe, sababu kura nyingi zinatoka CCM basi huchaguliwa yule wanayemuona anatoka ktk chama kidogo kinachoendana na CCM, ama...
  9. M

    Yes madam Speaker, We are stupid!

    Yani inachefua kupitiliza, alishasema kuwa posho zimeongezwa kwa kuwa maisha Dodoma gharama zimepanda. Sasa kuna justification gani walipwe siku tano tu, ina maana Jumamosi na Jumapili (siku za mapumziko) maisha hayako juu. Pia Serikali ipandishe posho za kila mtumishi akiwa Dodoma, ina maana...
  10. M

    CHADEMA yapongezwa kwa kujenga msikiti

    Al-Masjid DHWALALA
  11. M

    My Wedding Anniversary

    Kiongozi, Allah (SW) awape baraka na amani tele, na pia awakuze watoto kayika misingi ya Unyenyekevu.
  12. M

    Tanzania: Ni yapi yaliyojiri 1995?

    Nami nichangie kidogo. Mwaka huo pia alikuwepo mwana mama aliyechukua fomu, naye alikuwa ni Bi. Rose Lugendo. Ila alipata wakati mgumu alipoingia kwa usaili mbele ya Nyerere. Kama alivyosema Mkandala, Nyerere alimuomba Dk. Salim aje agombee, wakati huo Salim alikuwa Katibu Mkuu wa OAU. Salim...
  13. M

    Dk. Mwele Malecela ateuliwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa NIMR

    Alichapwa maswali 9 kati ya mangapi akashindwa?, hata kama yote 9 alijibu hajui inategemea aliulizwa maswali gani. Sio kila uki-present watu huuliza katika areas zako. Mtu anaweza uliza swali kutokana na anachokijua kwa kufananisha na ulicho-present, na kuwa muwazi hutakiwi danganya.
  14. M

    Jaji M.C. Othman Jaji Mkuu mpya wa Tanzania

    Kuna maswali ya kujiuliza 1. Wakati gani mtu hufanyiwa vetting? 2. Vetting hudumu kwa muda gani? Huyu Jaji Othman alishafanyiwa vetting, ndio akateuliwa na Rais kuwa Jaji katika Mhakama ya Rufaa. Kelele kuwa ndugu yake (sina uhakika) Rashid Othman kampendelea katika vetting zingeanza...
  15. M

    Dr Norbert Kayombo afariki dunia.

    Kweli ni huzuni kubwa, alikuwa mtu mcheshi, mwenye hekima, busara na msaada mkubwa. Nakumbuka nilikutana naye ofisini kwake tarehe 27/10/2010. Tuliongea kwa muda wa kama dk 20. Ninapoumia zaidi ni pale ninapokumbuka yale tuliyozungumza na kupanga kuanza kuyafanyia kazi katikati ya mwezi wa 12...
  16. M

    Who is IGP Mwema? CV Please!

    Wakati Mahabusu wanafariki Mbeya, Mwema alikuwa likizo. Wale waliotuhumiwa kuwaweka Mahabusu katika chumba kidogo ambao walikuwa Maaskari, walikamatwa na kuwekwa ndani kusubiri kosa la kusababisha vifo. Lakini nao wakatoroka, Mwema akaahirisha likizo kwenda kushiriki zoezi la kuwatafuta...
  17. M

    Philemon Luhanjo: Ni nini kazi yake? Mbona hastaafu?

    Katibu Mkuu Kiongozi (KMK) hustaafu kama viongozi wengine, mfano makatibu na manaibu katibu wakuu wa Wizara. KMK hayuko katika kundi la viongozi wa kisiasa ambao hawana suala la kustaafu kama Mawaziri, Wakuu wa Mikoa nk. Kweli muda wake wa kustaafu ulifika, lakini akaongezewa muda. Hilo la...
  18. M

    CUF kubadili bendera yake

    Kwani lazima utume kitu hapa JF. Kukaa kimya wakati fulani ni bora, UPUPU. kweli Mbuzi kalia, Ng'ombe kazimia.....
  19. M

    Elections 2010 Ni nani aliyeingiza udini kwenye kampeni hizi?

    Alichokuwa aNataka ,muanzisha mada ni kujua jee yupo Mbunge/Mwakilishi Mkristo Zanzibar?. JIBU NI WAPO.
  20. M

    Elections 2010 Wabunge Wateule Tayari Waonekana Ndani ya Nyumba!.

    Kigoma kusini nani mshindi?, manake kwa mujibu wa hiyo tovuti ya Bunge wameandika majina mawili kwa jimbo moja la Kigoma Kusini. Wameorodheshwa GULAMHUSSEIN SHABANI KIFU wa CCM na DAVID ZACHARIA KAFULILA wa NCCR-MAGEUZI.
Back
Top Bottom