Nauliza tu kwanini?
Wakati ni mmoja ya watu waliolitumikia taifa hili kwa kila hali
Nashauri watoto wake na wao waandae kumbukumbu yake itasaidia utawala kumkumbuka
1. Ommy dimpoz
Jamaa amefanikiwa sana baada ya kumterekeza baba yake akiwa anatanua DSM na fedha za kuhongwa na GSM baba yake anaendesha bajaj huko sumbawanga
2.Diamond platnumz
Huyu amefanikiwa sana na nyota imeng'aa kwa kumzalilisha baba yake na kumuweka mbali kabisa yeye akiwa anakula bata...
Yanga juzi wakati wamacheza Ghana walivaa vitambaa vyeusi kuonyesha wanaguswa na tukio la Hanang hamna timu nyingine imefanya hivyo
Yanga kwenye foundation ya prof jay imechanga tsh 5m upande wa pili hata simba ambayo ndio timu yake haijatoa hata mia
Hapo ndio tofauti inapoanzia
Azam...
Huyu si mwingine ni mchawi mweusi Bakari shime ambaye anafundisha timu za mpira za
Timu ya wanawake Tanzania
Timu ya Under 21 wanawake Tazania
Timu ya under 17 wanawake Tanzania
Timu ya wanawake Tanzania bara
Nashangaaa Goba Center imejengwa round about kupunguza foleni ila bado unakuta kuna trafiki jioni
Ambapo sasa hata umuhimu wa kuwa na round about haupo tena foleni vile vile
Kila siku inazidi kushuka thamani sasa ni kenya tsh 1 sawa na tsh 16.51 wakati zamani ilifika mpaka 22
Ni hujuma kwa Ruto
Ama wakenya wamerudia tabia yao ya asili ya uvivu
Baadhi ya maeneo ya Kariakoo, Upanga na Posta hawa watu ni wana nchi yao ndani ya nchi
Mtu anazaliwa Posta hajawahi kufika hata Magomeni
Hudumza zote wanapata huko huko
Posta mpaka kuna vyuo vikuu vya nje vyenye matawi
Starehe zao ni huko huko
Hosptali zao ni classic zipo
Maduka yao Posta mengi...
Kwa kweli moja ya sababu ya kuzuia vipanya(hiace) kuingia katikati ya Jiji ilikuwa ni kupunguza msongamano, namakosa yabkibarabani mengi waliyokuwa wanafanya madereva vipanya
Hii kero sasa inaletwa na hizi Bajaj
Kwanza zimekuwa nyingi kupita hata mahitaji.
Huko mjini unaweza usigongwe na gari...
Dj Mars
Dj Venture
Dj Skills
Dj D White
Dj Juice
Dj Nelly
Dj Kessy
Dj Muli Bring Bring
Dj Majizo
Di Sam
Dj Cutter
Dj Jongo
Dj D7
Ongezea wengne ambao walikuwa bora kuliko hawa kina AllyB
Ili ziweze kutoa huduma kwa ubora na kuipa Muhimbili eneo kubwa mle kuwa na taasisi zaidi ya moja pamesababisha kuwa na msongamano ambao mpaka sasa umesababisha magari kuanza kulipia
Ni kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.
Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.
Kwanini isiwe kama majirani...
Huyu mtumishi wa Mungu na mke wake baada ya kufika Singida walienda kituo cha kulea watoto na kumchukua mmoja ambaye kwa sasa wanaishi nae na mke wake kama mtoto wao
Hakika kwa imani na matendo yake nina imani mtoto atalelewa katika kumjua Mungu.
Hii itasaidia sana kudhibiti vyombo vya habari na waandishi wa hovyo
Wafanye kama alivyofanyaga manji kuzuia vyombo vya habari ya mengi kuandika kuhusu yeye
Kwa kuanzia waanze na kuzuia Efm na TVE kuzungumza kuhusu yanga
Kisha waje na baadhi ya waandishi uchwara kama juma ayo
Hii italeta nidhamu...
Hamna serikali inayoweza kutenga pesa ijenge barabara ya lami eti bajaji sijui boda ipite
Barabara za lami ni kwa ajili ya magari.
Nawakumbusha wajue hilo so wanapopita kweywe barabara ambazo hazijajengwa kwa ajili yao wawe na nidhamu na kufuata sheria
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.