Search results

  1. M

    Makonda, Jitokeze hadharani utuombe radhi wanasheria

    Petro ni mwanasayansi ya maada!
  2. M

    Ukweli kuhusu Reborn International

    Kuna watu wametumiwa barua pepe yenye ujumbe ufutao hapo chini. Je ujumbe huu unauhalisia? Niwasilishe. About Your Job Application on Tanzania Referendum Support Project Congratulation for your intention to work with us in the project, Tanzania Referendum Support Project (TRSP) in...
  3. M

    Chenge: Mimi ni nyoka mwenye makengeza msaka pesa

    Inaonesha yupo katika kila upigaji kwa kuwa wanamtumia yeye kama mtaalamu wa kutayarisha mikataba ya madili. Hivyo hakuna dili linalo mpita, mjanja!
  4. M

    Wana UKAWA tunamhitaji Prof. Lipumba lasivyo patachimbika

    Akipewa nafasi 2015, Lipumba atakuwa amegombea urais kwa kipindi cha miaka 25! Huko CUF hakuna watu wengine wanaofaa kugombea?
  5. M

    Tanzania nchi ya kwanza Afrika Mashariki kutumia usafiri wa Mabasi Yaendayo Kasi...

    Ni mradi wa mabasi yaendayo kasi au ni mradi wa njia ya mabasi iendayo haraka? Sifa nyingine hazina misingi!
  6. M

    Prof. Anna Tibaijuka amkosoa Mh. David Kafulila

    Ulitakiwa kwenda mbali zaidi, kutuambia hao watu 350,000 walihojiwa na tume juu ya muundo wa muungano. Vinginevyo ni kutulisha upepo!
  7. M

    Kupanda kwa nauli: Vyama vya wafanyakazi viko wapi?

    Hatuna vyama vya wafanyakazi bali ni Jumuiya za CCM
  8. M

    Paul Chizzi amuumbua Mwakyembe

    Ukisoma kati ya mistali inaonesha walifuata taratibu na sheria za manunuzi hivyo tatizo kubwa linalotutesa ni hiyo sheria ya manunuzi PPRA.
  9. M

    Hii ndo mistari ya bongo fleva iliyoandikwa na mwanafunzi wakati akifanya mitihani ya kidato cha 4

    Matunda ya shule kukosa walimu ndiyo haya. Yatasemwa mengi lakini daima tunasikia malalamiko shule hazina walimu, na hivyo watoto wanakuwa na muda mrefu wa kutunga mashairi.
  10. M

    Haya majibu wanayojaza watoto wa form iv tusipokua makini wataanza na kujisaidia ktk vyumba vya miti

    Ulitaka waandike nini kama hawakufundishwa? Wakiandamana wanapigwa mabomu pengine wameona hii ndiyo njia pekee ya kufikisha ujumbe. Baadala ya kuwalaumu inatakiwa kujiuliza kunini inazidi kuwa hivyo? Namna nyingine yoyote itakuwa ni uvivu wa kufikiri.
  11. M

    Kindle, eBooks and the future of Tanzania - Freddy Macha

    Utamaduni wa kupenda kujisomea vitabu unatakiwa ujengwe, na kamwe hauwezi kurithishwa. Shule nyingi za msingi na sekondari hazina vitabu ukiachilia mbali maktaba, wanafunzi hutegemea "notes" kutoka kwa waalimu wao. Matatizo ya wanafunzi kitaaluma yanatatuliwa kwa "tuition'' ambapo hupokea kutoka...
  12. M

    Tuzo ya MO Ibrahimu 2011: Tanzania imefanya vyema?

    Pamoja na ombwe la uongozi bado Tanzania iko juu kwenye utawala bora? http://www.moibrahimfoundation.org/en/media/get/20111003_ENG2011-IIAG-SummaryReport-sml.pdf
  13. M

    Tundu Lissu ashtakiwa

    Kazi ya bunge ni kuisimamia serikali ndivyo kwa Lisu na si vinginevyo.
  14. M

    Wakulaumiwa ni nani?

    Gazeti la Mwananchi leo lina habari isomekayo Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi, Dk Shukuru Kawambwawa, amesema walimu nchini wangekuwa wanatumia nguvu kubwa wanayotumia hivi sasa kudai posho na malimbikizo yao, wangeitumia madarasani matokeo mabaya yangekuwa ni historia. Wakulaumiwa hapo ni...
  15. M

    Nani kayasikia haya ya TPDC? Hatari

    Kwani hawafanyi "data backup". Je kama jengo lingeteketea kwa moto tungesemaje?
  16. M

    Kwanini Watu wa Kaskazini (Kusini na Magharibi kidogo) Wanataka Mabadiliko?

    Bushi alimaliza muda wake kikatiba hakuondolewa, isipokuwa waiiondoa Republican madarakani!
  17. M

    DOWANS: Slaa ulituongopea!

    Ngereja asinge weza kufanya zaidi ya hapo, ndivyo walivyowalivyo isajili hiyo Dowans, kulikuwa na thread huko nyuma zilizungumzia headnquarter ya Dowans sa.. .... Yana mwisho!
  18. M

    Tunataka katiba mpya, hiyo iliyopo wangapi wameisoma?

    Hivi ni watanzania asilimia wanaojua kusoma?
  19. M

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Ni aibu kwa historia na ukongwe huu Yanga inashindwa kujitegemea.
  20. M

    Elections 2010 Slaa: Mgombea sahihi katika wakati mbovu.

    Wazo lako linakosa mtiririko, lau kwa para moja ungeweza kutudokeza kuwa kwa nini Dr Slaa ni mgombea sahihi (heading inavyo someka) baadala ya kukimbilia kufikiri kuwa atapoteza.
Back
Top Bottom