salaam wana jf....
tunaomba mwenye mawasiliano ya Kondoa GIRLS au kupata joining instructions ya hapo kwao shuleni atusaidie tafadhali..cell: 0753210877
Habari ndugu wana jf..
Naitwa JAMES PETER ni mtumishi mwalimu idara ya Sekondari niko ROMBO KILIMANJARO
Natafta mtu wa kubadirishana kituo cha kazi anae Toka BUSOKELO MBEYA.
Aliye tayari tuwasiliane ani PM au nipigie 0625841197
ASANTE!
namba za bodi hizi hapa: 0763459165 & 0754373481 wapigieni na nyie wenzangu tusikie wanasemaje kuhusu application za mikopo maana mwaka huu wamechelewesha na vijana wanatakiwa kwenda JKT kuanzia tarehe 1-5 june.
Hi wadau.......
jamani samahani naomba kama kuna mtu anajua kwaya moja au kikundi cha waimbaji waliimba wimbo wa ''amani''
juzi kwenye maazimisho ya miaka 53 ya uhuru. naombeni wimbo au jina la msanii....
eeee ndo usubiri, kwani huwa hamsomi matangazo vizuri?? huwa wanasema kama hujasikia call for interview then count, you are not qualified enough to be considered for interview...au endelea kusubiri, sio mnatusumbua kuuliza maswali yenye majibu.... let say wengine wameitwa utafanyaje sasa...
wewe akili zako chache saaaana, umesha ambiwa serkal haina dini..... sasa unatoa wapi fikra potof za kidini hapa.... na unamawazo ya shari tu.... watu wenyewe hata kwenye kiganja hamjai tuki watafuna tunawamaliza tu sema hatu pendi ukorofi na kuvunja amani ya nchi.......
ndo ka test the diferenc.... usikariri, nini sasa kitaharibika ukiwa kwa boys? labda kama unaendekeza mambo fulani ndio unataka lazima wawepo girls tu or boys tu (sijui are you a boy or girl?)
SASA WW UNACHO HANGAIKA NI KITU GANI? KWANI LAZIMA KILA KITU UFANYE MWENYEWE? WAPE WATU HELA WAFANYE KAZI!! watu tunafanya kazi hiyo.............. time is not in your favour......
POLENI SAANA, BUT NACHO KIJUA MIMI NI RAHISI, SIMPLE AND INSTANT..... COZ I HV BIN WORKING WITH THIS THINGS..... Kama upo online dakika hii contact me....0753210877
wewe, nimegundua ni MJINGA kweli... unapost irrelevant coment kwenye kila thread ya mtu... hivi ume elewa mleta maada kasemaje?? anakuambia anahitaji mtu wa kubadirishana nae!!!, katoa contacts zake pale, ili mwenye haja awasiliane nae, NOT otherwise.... eti unauliza sababu sababu....!!!! sababu...
natafta mwalimu (sekondari) wa kubadirishana anayetoka wilaya ya njombe mji au makambako, aje mbeya-rungwe........
kwa mawasiliano zaidi: 0753210877 au 0712765157
natafta mwalimu (sekondari) wa kubadirishana anayetoka wilaya ya njombe mji au makambako, aje mbeya-rungwe........
kwa mawasiliano zaidi: 0753210877 au 0712765157
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.