Kipindi anataka kukua kwanini hakupalilia shamba ili asiote kwenye miba!? Maana hata mbinguni si wote watakao ingia sembuse kwenye muziki!! Waambie tu wajipange kipindi wanataka kutoka wapalilie shamba ili wastawi vizuri..
Lakini nyimbo za wenzetu huwa tunaziminya hayo maneno makali kisha tunarushwa kwa luninga zetu... Ili hali hata muda mwingine " https://jamii.app/JFUserGuide and bitch" zimetawala kwenye nyimbo.
But kama ni kulinda maadili, wala si siku nyingi mawaziri wawili wampinga RC wa dar kwenye ushoga, mbali zaidi Mh Kangi Lugola akasema mashoga wako salama Tanzania na hakuna atakae waonea.
Habari Wana JF!
Katika sakata hili linaloendelea la kufungiwa wimbo wa "Mwanza Nyegezi" kutoka usafini WCB na jinsi walivyokuwa wanajibizana mitandaoni kati ya WCB na Basata hiyo jana, nimepata shida sana kujua mchango wa wajumbe wa bodi walioteuliwa na Mh Mwakyembe kama nao walihusika vipi...
Habari Wana JF!
Katika sakata hili linaloendelea la kufungiwa wimbo wa "Mwanza Nyegezi" kutoka usafini WCB na jinsi walivyokuwa wanajibizana mitandaoni kati ya WCB na Basata hiyo jana, nimepata shida sana kujua mchango wa wajumbe wa bodi walioteuliwa na Mh Mwakyembe kama nao walihusika vipi...
Huwezi kuwa cool kila muda... Kuna vitu mtu lazima afanye ikiwa na kupitia humu kumaliza stress zake, na haimaanishi yeye ni fala au lofa kisa ni mwanaume. Dunia huwezi ibadili ila unaweza kujitengenezea ulimwengu wako wa kuishi....
Sio kila siku habari za viwanda tu ili kuonekana na watu uko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.