primio isiwe d4
cc less than 1900
isiwe na vvti
iwe imetembea chini ya km 100000
spacio ni ile ya kizamani
cc1600 kushuka chiniless than 100000
call 0753503999
wewe wawapi?huoni kama huyo ni binti kula kwngu wala co hatari hata wewe ukitaka kula kwangu poa tu mi nitakupa msosi na mambo yote yanyotakiwa kupewa wala bure na kama huna kitu cha kucoment next day usipoteze muda wako
mwanawani usiwe naharaka sana wewe subiri kazimzuriunajua kazi za mapema zinakuwa sionzuri imean zainkuwa za mshahara mdogo so wewe u have to waituntil thoseguyshave alresdy employed andreduce competion tothe industry and then you can apply for the better job
you are not alone who are not employed mpo wengi sana,sasa mimi naweza kukupatia kazi rahisi sana rakin ambayo utamake a lot of money into future,did got me?
sasa kuanzia sasa kazi yako wewe nikutafuta kazi send more aplication as u can one day 4 sure u will got what u need
Narudia tena kwamba...
wewe kweli ni mweu usipende kubisha vitu usivyofahamu its better to stay cool and to what other people sayin hiyo ishu ni ya ukweli kabisa tena inapigwa kwenye nyanya na mboga nyingine zinazoasiliwa sana na wadudu
sasa mkuu si kuna vitabu vingi tu vinavyousu hiyo kozi yake si uende kuvisoma au nenda kwenye google kama mdau hapo juu alivyokuambia ukishindwa kabisa u hav to drop that caurse isikutie wazimu na sio lazime uelewe au un mpango wa kuwa mwalimu ili ufundishe wengine tuambia kaka
mwana hilo ni zinga la chaka jamaa wanataka kukupa changa la macho wanasema uwatumie hizo dola lazima watataka nambali ya sili ya viza kadi
Now days wezi wa mtandaoni wapo wengi ucpime mie nakushauri usitume hizo pesa kama unadhani utauaga umasikin basi unaweza kuupata ufukala
utaaga umasikini...
inasikitisha sana huyu jamaa alikuwa ni mkali usipime kwenye suara la katuni nadhan yeye ndo aliyeanzisha gazeti la bongo
kazi za jamaa ziliniinspire sana niwe mchoraj sasa kinchonisikitisha jamaa amepotea kama upepo hakuna information yeyote kumuhusu yeye likin magazeti kama bongo sani tabasam...
kaka kweli huyu jamaa ni msaa the way alivyoingia madarakani hizo sera zake yaani chai tupu in short hazitekelezeki ooh maisha bora kwa kila mtanzania,is it possible kupata maisha bora kwa kila mtanzania kweli sisi wabofongo ni wazembe tunaamini kila kitu sasa si afadhali angesema nitapunguza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.