Search results

  1. S

    Msaada: Natafuta External harddisk

    call this no 0715888910
  2. S

    Toyota Vitz Inauzwa!

    weka picha na information zaid ya hapo
  3. S

    naitaji primio au spacio kwa m6

    kwa mimi ipsum hapana mimi ikiwa spacio au primeo itakua poa lakin kuna mdau mwingine alisema ana m6 atakuwa amekusoma labda anaweza kukubali ipsum
  4. S

    naitaji primio au spacio kwa m6

    zipo gari gani weka hapo na price zake na full information sio lazima mimi tu ninunue utapata watu wengine tukishindwana bei
  5. S

    naitaji primio au spacio kwa m6

    inawezekana kaka watu wanapuzika
  6. S

    naitaji primio au spacio kwa m6

    poa kaka
  7. S

    naitaji primio au spacio kwa m6

    naona wadau wapo kimya kaka ngoja tusubiri tuona
  8. S

    Magari haya yako sokoni (Suzuki swift,Premio,Carina,KLuger,Pic kUp)

    detail za hiyo premio ni zip?weka na picha zaidi mkuu za premio hiyo
  9. S

    naitaji primio au spacio kwa m6

    primio isiwe d4 cc less than 1900 isiwe na vvti iwe imetembea chini ya km 100000 spacio ni ile ya kizamani cc1600 kushuka chiniless than 100000 call 0753503999
  10. S

    Toyota Premio-Nzuri sana

    sita na nusu me naichukua
  11. S

    Natafuta "Uongozi wetu na hatima ya TZ" by J.K. Nyerere

    subiri siku ya nyerere nakumbuka udsm huwa wanauza hicho kitabu
  12. S

    nisaidieni nipate kazi

    wewe wawapi?huoni kama huyo ni binti kula kwngu wala co hatari hata wewe ukitaka kula kwangu poa tu mi nitakupa msosi na mambo yote yanyotakiwa kupewa wala bure na kama huna kitu cha kucoment next day usipoteze muda wako
  13. S

    nisaidieni nipate kazi

    mwanawani usiwe naharaka sana wewe subiri kazimzuriunajua kazi za mapema zinakuwa sionzuri imean zainkuwa za mshahara mdogo so wewe u have to waituntil thoseguyshave alresdy employed andreduce competion tothe industry and then you can apply for the better job
  14. S

    nisaidieni nipate kazi

    you are not alone who are not employed mpo wengi sana,sasa mimi naweza kukupatia kazi rahisi sana rakin ambayo utamake a lot of money into future,did got me? sasa kuanzia sasa kazi yako wewe nikutafuta kazi send more aplication as u can one day 4 sure u will got what u need Narudia tena kwamba...
  15. S

    Dawa ya Ngao kupuliziwa kwenye mbogamboga

    wewe kweli ni mweu usipende kubisha vitu usivyofahamu its better to stay cool and to what other people sayin hiyo ishu ni ya ukweli kabisa tena inapigwa kwenye nyanya na mboga nyingine zinazoasiliwa sana na wadudu
  16. S

    What is the Simply Formular for memorizing the 20 basic AMINO ACIDS?

    sasa mkuu si kuna vitabu vingi tu vinavyousu hiyo kozi yake si uende kuvisoma au nenda kwenye google kama mdau hapo juu alivyokuambia ukishindwa kabisa u hav to drop that caurse isikutie wazimu na sio lazime uelewe au un mpango wa kuwa mwalimu ili ufundishe wengine tuambia kaka
  17. S

    Jee hii ni kweli?

    mwana hilo ni zinga la chaka jamaa wanataka kukupa changa la macho wanasema uwatumie hizo dola lazima watataka nambali ya sili ya viza kadi Now days wezi wa mtandaoni wapo wengi ucpime mie nakushauri usitume hizo pesa kama unadhani utauaga umasikin basi unaweza kuupata ufukala utaaga umasikini...
  18. S

    John Kaduma!

    inasikitisha sana huyu jamaa alikuwa ni mkali usipime kwenye suara la katuni nadhan yeye ndo aliyeanzisha gazeti la bongo kazi za jamaa ziliniinspire sana niwe mchoraj sasa kinchonisikitisha jamaa amepotea kama upepo hakuna information yeyote kumuhusu yeye likin magazeti kama bongo sani tabasam...
  19. S

    Adui wa Kikwete si Karume

    kaka kweli huyu jamaa ni msaa the way alivyoingia madarakani hizo sera zake yaani chai tupu in short hazitekelezeki ooh maisha bora kwa kila mtanzania,is it possible kupata maisha bora kwa kila mtanzania kweli sisi wabofongo ni wazembe tunaamini kila kitu sasa si afadhali angesema nitapunguza...
Back
Top Bottom