Search results

  1. J

    Africa Investment ni nini? Naona dalili ya kupigwa

    Nimeingizwa kwenye kundi linaitwa AFRIC INVESTMENT, wanataka niinguze hela na kuvuna kwa utaratibu kama ule wa DECI. Anayelifahamu kundi hili atujuze, naona dalili ya kupigwa!!
  2. J

    Sitosahau niliponusurika kuchomwa moto tulipoenda kuiba mimi na rafiki zangu

    Wasiliana na huyu sasa hivi: geoffrey.mwambe@gmail.com
  3. J

    Askari wa Usalama barabarani, vigezo vya kuita magari ni nini?

    Kamanda Muslim, tunaomba kuwepo kwa balancing. Tunaokwenda airport tunaona kama hatutendewi haki
  4. J

    Askari wa Usalama barabarani, vigezo vya kuita magari ni nini?

    Bado nasubiri kama watanijibu. Niko nashangaa daraja hapa Tazara kwa takriban nusu saa sasa wanaita upande mmoja tu!!
  5. J

    Tuambiana ukweli, Mgao wa umeme umeanza?

    Leo tatizo hakuna naangalia shilawadu tetehehe
  6. J

    Tuambiana ukweli, Mgao wa umeme umeanza?

    :cool::cool: Leo tatizo hakuna naangalia shilawadu
  7. J

    Askari wa Usalama barabarani, vigezo vya kuita magari ni nini?

    Jamani, natambua umuhimu wa askari wetu katika kuongoza magari. Lakini napata shida kujua vigezo wanavyotumia kuweka upande mmoja zaidi ya nusu saa hadi saa nzima, bila kujali kuwa, kuna wanaowahi uwanja wa ndege au ni jioni ambapo magari mengi yanatoka mjini lakini ndiyo yanasubirishwa kwa muda...
  8. J

    Tuambiana ukweli, Mgao wa umeme umeanza?

    Tatizo hawasemi kama kuna issue. Au wakisema watatumbuliwa? Hata wakiacha kusema kama ni kutokana na uzembe wapigwe tu.
  9. J

    Tuambiana ukweli, Mgao wa umeme umeanza?

    Naona kuna kukatika umeme hasa ikifika jioni. Je, ni mgao pasipo kutaarifiana? Sasa hivi Tabata hakuna umeme na jana vile vile katika muda ule ule. Tiambiane ukweli.
  10. J

    Tahadhari: Wanawake wanaojiuza Dodoma hatari!! Wanaua kwa dozi ya usingizi!

    Jaribu kuchukua hizo za kulipia ndiyo utaisoma.
  11. J

    Tahadhari: Wanawake wanaojiuza Dodoma hatari!! Wanaua kwa dozi ya usingizi!

    Udom siku hizi wako busy mtu asikudanganye broo.
  12. J

    Tahadhari: Wanawake wanaojiuza Dodoma hatari!! Wanaua kwa dozi ya usingizi!

    Miundombinu yao iko bomba. Tatizo tu ni wajasiliamali wanaobeba hadi udongo wenye makinikia.
  13. J

    Tahadhari: Wanawake wanaojiuza Dodoma hatari!! Wanaua kwa dozi ya usingizi!

    Siku damu ikichemka ukataka kula mzigo uwe makini. Wanaouza rasmi si salama. Usiwacheke waliozidiwa. Itakufika kama wewe ni kidume kamilifu
  14. J

    Tahadhari: Wanawake wanaojiuza Dodoma hatari!! Wanaua kwa dozi ya usingizi!

    Jamani, ni vema niwape tahadhari nyie vidume mnaotembelea Dom. Mji mkuu umevamiwa na machangu hataree wanaoweka dozi ya usingizi ya kulala hata siku tano hujitambui. Wameshaua kadhaa na wala hawana uchungu wowote na madhara wanayoleta. Usihadaike na urembo, ni mbaya kuliko jambazi mwenye bunduki!
  15. J

    TAHADHARI: Rais ajiepushe na michakato ya manunuzi ya umma, sakata la Bombardier Arusha liwe funzo

    Tatizo ni kuwa, nyie watu wa Procurement mnatuchakachua sana hata maana ya professionalism imepotea. Bora kwenda dukani wenyewe kuliko kupitia kwenu. Suala la Arusha si la manunuzi.
  16. J

    EU yamkazia Dk. Shein na Rais Magufuli

    Wewe huwajui hawa, mmekataa kusaini EPA wakajifanya hawajali. Lakini haijapita muda wanaanza kufukua makaburi ambayo hata maiti bado hazijaoza kama vile ni kitu kipya, kumbe wanaanza kulipiza kisasi. Hata Maalim akipewa Urais watakuja kivingine tena. Aluta Continua.
  17. J

    EU yamkazia Dk. Shein na Rais Magufuli

    Hii ni janja ya wadhungu. Ila kuna watu fulani pia wanawachochea wadhungu waikandamize Tz kwa sababu ya kukosa.
  18. J

    EU yamkazia Dk. Shein na Rais Magufuli

    Kimsingi, wamekazia baada ya Tanzania kukataa kusaini EPA. Wamekuja kivingine ili tusifikirie kuwa sasa wameanza ku-revenge. Wazungu bhana....
  19. J

    Tunataka maji Tabata

    Mkurugenzi Mtendaji, ulianza kushugulikia leakages, lakini naona bado kuna uvujaji mkubwa wa mabomba Tabata
Back
Top Bottom