Kituko cha karne,mambo ya 1979 kwa 2021......yaani hatujui hata kama kuna maji ya kutosha kufanya mradi uwe endelevu,alafu tunaweka Trillions????? [emoji1544]
Mkuu,maskhara hayo mkuu.....kunusana tena!!!!Ayseee,au ndiyo ile design ya "kula tunda kimasihara" mkuu???!!!!Maana mna maskhara sana na mwenzi wako!!!!
Wewe ni mwongo sana,ni muongo na mtu mlaghai sana.Acha hiyo tabia,inaharibu familia,jamii inayo kuzunguka na taifa kwa ujumla.Pumbafff wewe,hivi ni'nani alikitaka kichwa cha Yohanne m'batizaji?
Kiongozi naomba niende nje ya mada maana concern yangu ni:
Umepost mistari miwili yenye maswali mawili tu,lakini likes kwako ni nyingi kuzidi za mwandishi/muanzisha uzi!!!Kwakweli you are "The Boss" [emoji119]
Kwa WATEULE,mwanamuziki na msanii pekee na kipaji ni Jay Mo tu.Hao wengine waliobakia ni Wasanii tu na walijikita huko kwakuwa hawakua na shughuli ingine ya msingi ya kufanya.
Faza we baki na kazi za mwezini tu, huko mbinguni kazi zinepungua idadi maana hatanamba moko wetu hapa jamhurini keshaziwahi mbili chap.....kachagua kabisa kama siyo kupiga deki basi kuongoza malaika!!!
It is your opinion yes ofcourse....so what???!!ukiiweka wazi opinion yako mbele ya jamii huna budi kuwajibika nayo.Diversity and critical thinking nullifies your phrase of "it is my opinion".Uko vizuri katika conspiracy,bravo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uwongo,kuanzisha tu thread humu jamvini kisha kuifuatilia inahitaji subscription ya bundle kubwa iwe kwa siku.....wiki au mwezi!!!Weka chakula na maji,pango la nyumba nalo likokotoe.....bill ya umeme na maji.Yaani thread yako uwongo mtupu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.