UONEVU MKUU DHIDI YA MWANDISHI = ERICK KABENDERA.
"
Mwandishi wa habari nchini Tanzania Erick Kabendera Jumatatu, amepandishwa kizimbani na kusomewa mashtaka mapya ya uhujumu uchumi baada ya kuzuiliwa na polisi kwa zaidi ya siku saba.
Mashtaka mapya yanamtuhumu kwa kujihusisha na genge la...
"Changamoto kubwa ya ulimwengu kwa sasa ni kwamba wenye akili hawataki kujihusisha na siasa, na hivyo wajinga wamepewa mamlaka ya kuwatawala wenye akili na wasio na akili"- Donald Trump.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.