Miaka ile wakati tupo shule ya msingi,tulisoma kwamba Shaba ya Zambia husafirishwa Nchi za nje kupitia bandari za Beira, Lobito na Dar Es Salaam.
Swali je hizo bandari za Beira na Lobito hazipo tena?
Kwa taarifa yako sasa zimeongezeka nyingine kama Durban,Walvis Bay na nyingine.
kazi kwako...
Hii kesi mpaka sasa ipo kwenye mahakama ya haki za binadam Afrika,jamaa walikata rufani huko.
Sasa watu wamemtonya, mhusika wa kale kwamba amshtue jamaa awatoe kwa msamaha. Sababu kule ilipo hawana figisu wataangalia kila hatua za kesi ilivyo kuanzia mwanzo bila upendeleo.
MKOA MOROGORO
WILAYA KILOMBERO
KATA. NAMWAWALA
KIJIJI NAMWAWALA . Kijiji kipo umbali wa Kilometa 30 kutoka IFAKARA Kuelekea MLIMBA. JIMBO la Uchaguzi ni MLIMBA.
TANESCO Wilaya Kilombero , Mkoa Morogoro , Makao Makuu fuatilieni huo mradi REA hapo kijijini kwanini...
Mradi wa REA katika Kijiji cha NAMWAWALA kata NAMWAWALA Wilaya ya KILOMBERO Kilometa 30 toka Ifakara kuelekea Mlimba. Line ya umeme mkubwa baadala ya kupitisha kando ya barabar wao wamepitisha mitaani kwenye Viwanja na Nyumba za watu je ni sawa?
Kuna dalili ya rushwa ilitembea ili kuepusha...
Mkuu ni kweli wale askari walishatangulia mbele ya haki?
Aliyekuwa mkuu wa kituo hapo wakati ule ni classmate wangu O Level. Ahmad Makele alifariki mwaka gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.