Hahahaha.....watu wanachora mstari kwa kutumia point moja. Mtu aliyeishi vibaya na watu america amevunja rekodi ya kuchangiwa pesa nyingi za mazishi, mpaka sasa zimechangwa dola elfu sitini ($60,000+) na bado watu wanaendelea kuchanga, na tunatarajia kufikisha $70,000+.
Drew amejizika vizuri kwa...
Jeshi, usalama wa taifa vyote hivyo ni vyombo vya serikali. Na wote hao wanahusika kwenye biashara hii. Ni mara kadhaa magari ya jeshi yamekamatwa yamebeba meno ya tembo. Hilo gari lililotumika hapojuu ni la mstaafu wa jeshi. Tatizo watu wengi wanaamini jeshi na usalama wa taifa sio sehemu ya...
sasa ulivyokuwa mrefu hivyo ukivaa nguo fupi si itaoneakna iko juu sana inapepea(kwenye mlingoti) kama bendera ya taifa?
mi naona ni bora uvae nguo ndefu.
kuna mshkaji miaka ya zamani kidogo alipewa dozi ya malaria akawa hapati nafuu, kumbe alikuwa na typhoid, baada ya wiki moja akatokea jamaa ambaye alishawahi kuugua typhoid akamshauri akapime typhoid kwa daktari mwingine, akakutwa na typhoid na ilibaki kidogo ifikie stage mbaya. jamaa akatumia...
Salaam wana JF
Angalizo dogo kwa wana mageuzi.
CCM wanaihujumu CHADEMA kwenye level ya juu zaidi kuliko CHADEMA wanavyofikiria. Inaonekana intelijensia ya CHADEMA inai- underestimate intelijensia ya CCM, kitu ambacho si sahihi, na kinaweza kuigharimu CHADEMA.
Inavyoonekana CCM ina watu ndani...
kwanza,hakuna mtu aliyeambiwa atakuwa taulo la hoteli kwenye hiyo post. Isipokuwa atakuwa na kazi kama taulo la hotel. Hapo inategemea tafsiri yako ya neno hoteli.
Ukisema mke nitakayemuoa atakuwa na kazi kama taulo la hotel ninaweza kuona ni sahihi kulingana na tafsiri yangu ya neno hoteli...
Sikushauri kuoa huyo mwanamke. Tafuta ambaye hajawahi kuolewa na ambaye hana watoto, unless na wewe una watoto na mwanamke mwingine.
Matatizo ni mengi zaidi ukioa katika mazingira hayo. Pia kama wewe nimkristu fuata pia ushauri wa jamaa hapo chini:
Halafu cha kushangaza hujamuita lara1 taulo la hoteli, umesema atakaye muoa lara1 atakuwa na kazi kama taulo la hoteli, lakini watu wanang'ang'ania umemuita lara1 taulo la hoteli.
hayo ni mchache tu kati ya ambayo yataifanya ccm ing'ang'anie madaraka milele. Kuing'oa ccm ikulu ni kazi kuliko vile watu wanavyoongea. ccm hawawezi kuachia nchi kirahisi, hatuombei damu kumwagika lakini inaweza kutokea hivyo.
Nakumbuka Moi(rais wa kenya enzi hizo) aliongea kwenye vyombo vya habari kuwa anashangaa sana rais aliyeko madarakani kushindwa uchaguzi, akiwa na maana kwamba Kaunda hakustahili kushindwa kwa sababu yeye ndie aliyekuwa madarakani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.