sina cha kueleza zaidi mkuu,naomba umtafute madam B au heaven on earth atakupa ushauri mzuri kwani wanauzoefu na madarasa ya ushauri kwenye hali kama hizo
wadau,naomba kujuzwa kuhusu ghorofa lililopiga ufa kariakoo baada ya lingine kuanguka na kuamriwa livunjwe kwa kauli mbalimbali za viongozi wetu,limeshavunjwa?na kama bado tatizo nini?naomba kufahamishwa wakuu
unadhani huyo mkeo alishuka tu kutoka mbinguni?nani alimzaa,nani alimlea,nani alimsomesha nani alimshauri akawa na tabia njema hadi ukamuona anafaa kuwa mke?unapenda mteremko eh?
it was the only part my mind could not accept,till now,haven't got the answers on the "HOW FACTOR"HOW DID THEY START SUCH A NASTY THING?I CAN'T IMAGINE BRO
Wadau,
Hii nimekutana nayo Julius Nyerere International Airport TERMINAL ONE,ambapo kuna m-baba mmoja mtu wa makamo hivi ambaye ana kijikampuni cha huduma za usafiri wa anga.
Kwa taarifa nilizopewa na mmoja wa wafanyakazi wake ni kwamba,mkasa ulikuwa hivi,m-baba huyu aliyekuwa ameoa kwa ndoa...
samahani bro,usimshangae sana huyo binti.hiyo ni hali ya kawaida kabisa katika maisha ya kimapenzi na ni maisha ya kimpito tu.ukweli ni kwamba kama ulishawahi kupenda then kuna kipindi flani "ulishawahi kuwa ---- au teja wa penzi la mtu flani"uwe mdada au mkaka lazima kuna mtu alisha wahi...
katika suala hili mi bado nitasimama upande wa wamiliki wa malori,sheria ipo,sawa kabisa lakini inamapungufu ndio maana serikali ikakubali punguzo la asilimia 5 kwa kuzingatia mapungufu ya sheria.kwanza kabisa serikali na hasa waziri magufuli angerekebisha mizani kwanza kabla ya kuondoa hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.