wewe unapiga kelele kwenye mtandao unaudhibitisho gani kwamba ni wizi.
kigezo gani umetumia kusema kwamba ni wizi.ulishaibiwa au kuna mtu ameibiwa?
kubadilisha masharti ni jambo la kawaida,benki au taasisi inayojulikana
ikibadilisha unasema sawa mzee watu wengine wakibadilisha unasema wizi...
riba na muda wa mkopo ni flexible tunajadiliana na muhitaji mkopo.
riba inarange kati ya 10% na 25% kwa mwezi.
marejesho ya mkopo kati ya mwezi 1 na miezi 8.
Nenda benki kawalilie watakupa ela ya kirahisi
benki zipo nyingi sana hapa tanzania zimejitolea kusaidia wananchi.ukifika benki watakupa kwa urahisi na haraka mkopo wowote unaotaka
sasahivi tunakutana na muhitaji halafu tunajadiliana kuhusu riba.sio lazima tumchaji 30%.riba inaweza kupungua ikafika 15% au 20%.ikiwa gari ni ya dhamani na ni mpya riba inapungua.halafu garama za kufanya valuation ya gari yako ni bure!! Hatuchaji.
Kwahiyo tukishakagua gari yako tunajadiliana...
mawasiliano ya simu ni rahisi sana hata kwa meseji inatosha kukuelewesha na maswali yako kujibiwa hata kukuelekeza ukitaka kuja ofisini.
riba asilimia 30 ya mkopo.
mkopo utakaopata unakuwa nusu ya dhamani ya gari yako
Mfano gari yako ina dhamani ya milioni 50 unakopeshwa milioni 25.
muda wa...
Wale wote wanaohitaji mikopo ya hela tuwasiliane.
Kuna kampuni inatoa mikopo ya hela ya haraka.
Masharti ya kupata mkopo unatakiwa kuweka dhamana gari lako.
Mawasiliano zaidi ntafute kwa 0713902202
MIKOPO HARAKA INATOLEWA KWA WALE WOTE WENYE KUHITAJI HELA ZA HARAKA KWA AJILI YA BIASHARA ZAO NA MAHITAJI MENGINE.
HAKUNA URASIMU. MASHARTI YA KUPATA MKOPO NI KUWEKA DHAMANA YA GARI.
MAWASILIANO,NITUMIE MESEJI NO YANGU NI 0782440468
AU EMAIL. somigroup@yahoo.com
The length of a man's ring finger may predict his success as a financial trader. Researchers at the University of Cambridge in England report that men with longer ring fingers, compared to their index fingers, tended to be more successful in the frantic high-frequency trading in the London...
Nina wanunuzi kutoka ulaya,israel na usa wa almasi,gold na gemstones aina zote.
Kama una yoyote kati ya hizo hapo juu tuwasiliane mara moja.
Hapa chini kama zinavyosomeka ni email mteja wangu walinitumia kutoka usa/uk na israel respectively.
kwahiyo fanya haraka tuwasiliane. Namba yangu...
Dell inspiron 1580 17 inch widescreen,hardisk 100 GB ,RAM 1Gb
zipo 5. bei sh.1200000 kila moja.
kama unanunua zote kwa pamoja bei itashuka kuwa sh.1100000 kila moja.
inamaana jumla zote 5 sh.5500000.
simu yangu 0713902202. wahi mapema!!
hiyo ni kawaida kila mahali uchumi wa nchi umelemea zaidi properties kama majengo,ardhi nk
kwaio ukiwa na ela nunua nyumba nyingi sio magari.magari dhamani yake inashuka muda unavyozidi kwenda wakati majengo dhamani inapanda.
kumbuka hivi karibuni hata uchumi wa ulaya na usa uliporomoka sababu...
benki za hapa tanzania zinatumia siasa ya kusema tunakopesha ili ujiunge uwe na akaunti kwao lakini urasimu upo palepale wanatoa mkopo kwa watu wachache sana.inamaanisha biashara ya benki hapa tanzania bado ni changa sana kama ni mtoto basi ana wiki 1 toka kuzaliwa.wao wanamjali mtu tajiri aliye...
hapa nakuunga mkono kwa hoja yako ya watanzania kuwa wavivu.
asilimia 90 ya watanzania ni wavivu.
maana utakuta kama mtu una dilizako za kutafuta ela na unakuwa na mishemishe nyingi za hapa a pale watu hapa bongo watakucheka , kukukejeli na kukushangaa.
ndio maana utakuta wachaga wengi...
kwa kawaida bar zote watumishi wakiwa wanawake huduma inakuwa mbaya sana! kama hukuwapa pesa au kinywaji wanasusa kukupa huduma.huwa wana kawaida ya kwenda kuwahudumia wateja wanaowapa pesa au kinywaji
kwanza.wahehe ni kweli wanakula mbwa.kuna kipindi fulani nilikuwa nasoma mkwawa high school nikawa nimetamani kwenda kubadili menu kutoka menu ya shule kwenda kwenye menu ya uraiani nikafika kwenye kajimgahawa ka kiubabaishaji pale iringa mjini nikamuagiza muuzaji wali nyama akaleta wali na...
ule mtindo wa katelelo wanaujua wahaya tu,ni kama unyago wa kihaya, kwaio unakuta kijana wa kihaya akiomba katelelo kwa dada wa kabila lingine inakuwa patashika nguo kuchanika,ndio maana ni bora kijana wa kihaya amuoe msichana wa kihaya wataona katelelo ni kitu ya kawaida,maana huko kagera...
kwanini utoe tangazo la kutafuta mume kama vile unatoa tangazo la kununua nyumba au gari?? utaonekana haupo serious kutaka kuolewa.unanikumbusha jinsi wazee wenu wa huko mwanza wanavyotoa masharti ya kutoa ng"ombe ili uoe binti wa kisukuma.
kweli utatulia nyumbani hata ukimpata huyo mwenye sifa...
kwanini utoe tangazo la kutafuta mume kama vile unatoa tangazo la kununua nyumba au gari?? utaonekana haupo serious kutaka kuolewa.unanikumbusha jinsi wazee wenu wa huko mwanza wanavyotoa masharti ya kutoa ng"ombe ili uoe binti wa kisukuma.
kweli utatulia nyumbani hata ukimpata huyo mwenye sifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.